Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Nilijua Kubenea ni Bonge la Mwamba
Kumbe Mlaini tu
Chozi Alilomwaga Kashindwa Hata Kumalizia Shukrani Zake kwa Waandishi Wenzie wa Habari Waliojitoa Kumkomboa
Kweli Sheria ya Utakatishaji Noumer[emoji119]
====
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ambapo kesi inayomkabili itatajwa September 21, 2020.
Kubenea ambaye pia alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020), alifikishwa Mahakamani juzi baada ya DPP Biswalo kuidhinisha mashtaka dhidi yake ya kutuhumiwa kuingiza nchini fedha za kigeni bila kutoa tamko na pia kuingia Tanzania kinyume na sheria za uhamiaji.
Kumbe Mlaini tu
Chozi Alilomwaga Kashindwa Hata Kumalizia Shukrani Zake kwa Waandishi Wenzie wa Habari Waliojitoa Kumkomboa
Kweli Sheria ya Utakatishaji Noumer[emoji119]
====
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ambapo kesi inayomkabili itatajwa September 21, 2020.
Kubenea ambaye pia alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020), alifikishwa Mahakamani juzi baada ya DPP Biswalo kuidhinisha mashtaka dhidi yake ya kutuhumiwa kuingiza nchini fedha za kigeni bila kutoa tamko na pia kuingia Tanzania kinyume na sheria za uhamiaji.