Chozi Alilomwaga Kashindwa Hata Kumalizia Shukrani Zake kwa Waandishi Wenzie wa Habari Waliojitoa Kumkomboa
Kweli Sheria ya Utakatishaji Noumer[emoji119]
====
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ambapo kesi inayomkabili itatajwa September 21, 2020.
Kubenea ambaye pia alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020), alifikishwa Mahakamani juzi baada ya DPP Biswalo kuidhinisha mashtaka dhidi yake ya kutuhumiwa kuingiza nchini fedha za kigeni bila kutoa tamko na pia kuingia Tanzania kinyume na sheria za uhamiaji.
Kwa hiyo kubenea ni jiwe kwamba hana moments za hisia kama binadamu yoyote yule?
Alikuwa kwenye brink ya kupoteza kila kitu kwa kesi iliyomkuta... kuponea nalo ni heri.
Sisemi kuwa alie lie hovyo.. hapana. But this near life threat situation mwaume akitoa chozi sishangai
KUBENEA HAWEZI KUSHINDA UBUNGE ALILOFANYA NI DOA KUBWA SANA KTK SIASA.UBUNGO HAWAZEZI KUMCHAGUA MSAFIRISHA PESA CHAFU NA KUVUKA MPAKA KINYUME NA SHERIA