Kubenea usiogope,endelea kuwachachafya mafisadi,Watanzania msikubali kabisa ubakaji wa uhuru wa vyombo vya habari.Tanzania itakombolewa na watu kufuatilia mustakabali wake na kukataa ukandamizaji.Mwanahalisi ina wapenzi wengi kiasi kwamba lilipofungiwa wamefadhaika sana ila kwa vile ni wapole wameendelea kusubiri lakini uonevu ukiendelea uvumilivu utakoma.