Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Ngao One

Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
35
Reaction score
29
Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye mkakati wa kuzuia mafisadi hawa wasifutwe uanachama wa CCM.

Tetesi ziliopo ni kuwa Kubenea kapewa pesa na mali kadhaa zenye thamani kubwa ili gazeti lake la MwanaHALISI liache kabisa kuwaandika habari yoyote mbaya (negative) kuhusu kina Rostam, Lowassa na Chenge tangu CCM ilipowataka wajitoe wenyewe kwenye uongozi.

Pamoja na kupigwa marufuku kuandika habari zozote mbaya kuhusu Rostam, Lowassa na Chenge, Kubenea pia amepewa kazi maalumu kuandika habari za kumchafua Rais Jakaya Kikwete, mtoto wake Ridhwani Kikwete, Samuel Sitta, Nape Nnauye, na viongozi wengine wa CCM.

Baada ya kuangalia mwenendo wa MwanaHALISI kwa wiki kadhaa na kuona ni kweli gazeti hili limekuwa na kigugumizi cha ghafla cha kuandika maovu ya Lowassa, Rostam na Chenge na badala yake linamshambulia Kikwete na Sitta kila kukicha, nimepata hofu kuwa huenda hizi tetesi si za kupuuza hata kidogo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
hata mimi utasema nimenunuliwa

Sioni kosa la RACHEL ndani ya chama cha magamba

wamefanya lipi baya kwa ccm watimuliwe

Mbona gamba kuu JK Mkapa Meghi waendelee kuwemo.

RACHEL wanaqualities zote za kubaki CCM
 
Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye mkakati wa kuzuia mafisadi hawa wasifutwe uanachama wa CCM.

Tetesi ziliopo ni kuwa Kubenea kapewa pesa na mali kadhaa zenye thamani kubwa ili gazeti lake la MwanaHALISI liache kabisa kuwaandika habari yoyote mbaya (negative) kuhusu kina Rostam, Lowassa na Chenge tangu CCM ilipowataka wajitoe wenyewe kwenye uongozi.

Pamoja na kupigwa marufuku kuandika habari zozote mbaya kuhusu Rostam, Lowassa na Chenge, Kubenea pia amepewa kazi maalumu kuandika habari za kumchafua Rais Jakaya Kikwete, mtoto wake Ridhwani Kikwete, Samuel Sitta, Nape Nnauye, na viongozi wengine wa CCM.

Baada ya kuangalia mwenendo wa MwanaHALISI kwa wiki kadhaa na kuona ni kweli gazeti hili limekuwa na kigugumizi cha ghafla cha kuandika maovu ya Lowassa, Rostam na Chenge na badala yake linamshambulia Kikwete na Sitta kila kukicha, nimepata hofu kuwa huenda hizi tetesi si za kupuuza hata kidogo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!

Mihandarati hii!
 
Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye mkakati wa kuzuia mafisadi hawa wasifutwe uanachama wa CCM.

Tetesi ziliopo ni kuwa Kubenea kapewa pesa na mali kadhaa zenye thamani kubwa ili gazeti lake la MwanaHALISI liache kabisa kuwaandika habari yoyote mbaya (negative) kuhusu kina Rostam, Lowassa na Chenge tangu CCM ilipowataka wajitoe wenyewe kwenye uongozi.

Pamoja na kupigwa marufuku kuandika habari zozote mbaya kuhusu Rostam, Lowassa na Chenge, Kubenea pia amepewa kazi maalumu kuandika habari za kumchafua Rais Jakaya Kikwete, mtoto wake Ridhwani Kikwete, Samuel Sitta, Nape Nnauye, na viongozi wengine wa CCM.

Baada ya kuangalia mwenendo wa MwanaHALISI kwa wiki kadhaa na kuona ni kweli gazeti hili limekuwa na kigugumizi cha ghafla cha kuandika maovu ya Lowassa, Rostam na Chenge na badala yake linamshambulia Kikwete na Sitta kila kukicha, nimepata hofu kuwa huenda hizi tetesi si za kupuuza hata kidogo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!

Vipi kama alishamaliza kuandika yote yanayowahusu RACHEL na isitoshe hawana tena office za umma ambazo wanaweza kufanya ubadhirifu mpya unataka aandike habari za kutunga ili tu kuwachafua?
 
Hajanunuliwa wala kunadiwa na hatanunulika!! Ila anasema ukweli ambao hata mafisadi wameamua kuusema hivi sasa!
 
ahaaa kumbe ni tetesi, ngoja niwahi foleni
 
Mimi ni msomaji wa miaka mingi wa Mwanahalisi. Kusema kweli hata mimi nimekuwa nikishangaa mbona kwa wiki kadhaa sasa gazeti hili limekuwa likiwagwaya kina Chenge, Lowasa na Rostam? Mwahalisi lilijichotea sifa nyingi kwa kuandika habari kubwa bila woga. Sasa huu woga wa ghafla dhidi ya mafisadi umetoka wapi?

Kuna haja ya kufuatilia kwa karibu mwenendo wa gazeti hili kwa kweli, maana mafisadi wana billions of shillings at their disposal na wanaamini kuwa everyone has a price. Au wamefika bei kwa KUBENEA?
 
kwani hao unaowatetea si mafisadi au? Kashasema saana mengi tu ya kina RACHEL sasa anakuja kwa hawa mafisadi wanaojifanya wasafi jk and the band, yaani mshaanza mtu akisema ukweli wenu kanunuliwa jamani mnafikiri kila mtu anaingia kingi kichwakichwa ka nyie 2005? Mawe pande zote mtafurahi
 
Mimi ni msomaji wa miaka mingi wa Mwanahalisi. Kusema kweli hata mimi nimekuwa nikishangaa mbona kwa wiki kadhaa sasa gazeti hili limekuwa likiwagwaya kina Chenge, Lowasa na Rostam? Mwahalisi lilijichotea sifa nyingi kwa kuandika habari kubwa bila woga. Sasa huu woga wa ghafla dhidi ya mafisadi umetoka wapi?

Kuna haja ya kufuatilia kwa karibu mwenendo wa gazeti hili kwa kweli, maana mafisadi wana billions of shillings at their disposal na wanaamini kuwa everyone has a price. Au wamefika bei kwa KUBENEA?

Ahsante kwa kuona hilo!
 
Lisemwalo lipo. Taarifa kwamba huyo bwana ameshakaa na RACHEL zipo sana mjini. Nasikia sasa hivi wanamtumia kumchapa JK ambaye tayari wanamuona adui. Ngoja tusubiri, najua mambo yata-unfold soon.
 
Nimejaribu kufanya utafiti pori. Mbele yangu nina faili zima la magazeti ya MwanaHALISI. Toleo la mwisho ambalo gazeti hili liliandika habari ya kumbamiza Lowassa ni tarehe 6 Aprili kwa kichwa cha habari: "Lowassa hasafishiki."

Baada ya hapo, matoleo yote 6 yaliyofuata ya MwanaHALISI yamekuwa na habari za kuwatetea kiaina kina RACHEL, kumwandama Kikwete na kujaribu kumgombanisha Kikwete na Sekretariati ya CCM.

Angalia kama ifuatavyo matoleo haya mfululizo ya MwanaHALISI:

1. Kikwete 'jino kwa jino' na Lowassa (13 Aprili)

Habari hii ilipotoshwa makusudi kujaribu kuonesha kuwa uamuzi wa NEC wa kuwafuta kazi mafisadi ndani ya CCM ni vita kali vya madaraka kati ya Kikwete na Lowassa na si uamuzi rasmi wa CCM kama chama.

2. Dk. Slaa amweka pabaya Kikwete (20 Aprili 2011)

Habari hii iliyokuja immediately baada ya kikao cha NEC ya CCM imesema kuwa Slaa amtaja tena Kikwete katika ufisadi. Ikaongeza kuwa avuruga mkakati wa "gamba." Habari nyingine kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti hilo ikasema kuwa: Lowassa, Rostam, Chenge bado

3. Mukama amdanganya Kikwete (27 Aprili 2011)

Habari hii ikitaka kuonesha kuwa Sekretariati ya CCM mpya iliyochukua nafasi baada ya kufukuzwa kwa mafisadi haifai.

4. Kikwete mahakamani (4 Mei 2011)

Huku habari nyingine ikisema CCM yafyata kwa mafisadi

5. Nyumba ya Kikwete yazua utata (11 Mei 2011)

Gazeti hili likiwa linaendelea kumwandama Kikwete kwa tuhuma huku likikaa kimya kuhusu kina RACHEL.

6. Kikwete ndani ya CCJ (18 Mei 2011)

Huu ni muendelezo ule ule wa mkakati wa kina RACHEL wa kuibua tuhuma dhidi ya Kikwete kupitia MwanaHALISI ili wao waweze kusalimika.

Naomba kuwasilisha...
 
Nimejaribu kufanya utafiti pori. Mbele yangu nina faili zima la magazeti ya MwanaHALISI. Toleo la mwisho ambalo gazeti hili liliandika habari ya kumbamiza Lowassa ni tarehe 6 Aprili kwa kichwa cha habari: "Lowassa hasafishiki."

Baada ya hapo, matoleo yote 6 yaliyofuata ya MwanaHALISI yamekuwa na habari za kuwatetea kiaina kina RACHEL, kumwandama Kikwete na kujaribu kumgombanisha Kikwete na Sekretariati ya CCM.

Angalia kama ifuatavyo matoleo haya mfululizo ya MwanaHALISI:

1. Kikwete 'jino kwa jino' na Lowassa (13 Aprili)

Habari hii ilipotoshwa makusudi kujaribu kuonesha kuwa uamuzi wa NEC wa kuwafuta kazi mafisadi ndani ya CCM ni vita kali vya madaraka kati ya Kikwete na Lowassa na si uamuzi rasmi wa CCM kama chama.

2. Dk. Slaa amweka pabaya Kikwete (20 Aprili 2011)

Habari hii iliyokuja immediately baada ya kikao cha NEC ya CCM imesema kuwa Slaa amtaja tena Kikwete katika ufisadi. Ikaongeza kuwa avuruga mkakati wa "gamba." Habari nyingine kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti hilo ikasema kuwa: Lowassa, Rostam, Chenge bado

3. Mukama amdanganya Kikwete (27 Aprili 2011)

Habari hii ikitaka kuonesha kuwa Sekretariati ya CCM mpya iliyochukua nafasi baada ya kufukuzwa kwa mafisadi haifai.

4. Kikwete mahakamani (4 Mei 2011)

Huku habari nyingine ikisema CCM yafyata kwa mafisadi

5. Nyumba ya Kikwete yazua utata (11 Mei 2011)

Gazeti hili likiwa linaendelea kumwandama Kikwete kwa tuhuma huku likikaa kimya kuhusu kina RACHEL.

6. Kikwete ndani ya CCJ (18 Mei 2011)

Huu ni muendelezo ule ule wa mkakati wa kina RACHEL wa kuibua tuhuma dhidi ya Kikwete kupitia MwanaHALISI ili wao waweze kusalimika.

Naomba kuwasilisha...

Kulikuwa na tetesi kwamba hata wewe umenunuliwa na Ridhiwani na baba yake mzazi kwamba uje hapa jamii forum kuhakikisha unawatetea kwa namna yeyote uwezayo lakini mimi nilipuuzia hii tetesi, lakini sasa naanza kuhisi hizi tetesi si za kuzipuuza.
 
mh kweli, nipeni simu ya kubenea nimweleze live, huyu kijana ataponzwa na visenti vya mafisadi na kuharibu kabisa future yake. nataka nimweleze kama amepokea pesa ale lakini mashambulizi paleplae. je mkurugenzi mwenzake wa mwanahalisi, Antony KOMu, ambaye pia ni mkurugenzi wa fedha na utawala wa chadema naye kapewa chochote na akina lowasa?
 
Back
Top Bottom