CCNP Engineer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 463
- 1,286
Nimeanza kubeti mwezi March wakat Rafik yangu alipokuja kunitembelea Ghetto na kunionesha sample ya mikeka anayokula. Nikatamani sana!!
Mwanzo nilikua muoga sana, nikawa naweka stake ya sh. 500 tu. Nikila saana nakula 900 labda. Na ikitokea nimeliwa kajero kangu hakaniumi sana. Si jero tu!!
Siku moja nipo kituo cha kubetia (Premier) nikashuhudia jamaa mmoja anaweka stake ya 450,000 kwenye Bet of the day.
Kwamba Juve, Atletico na Santos wote washinde. Odds zilikua 11.
Na kweli kesho kuchek matokeo timu zote zimeshinda.
Kwahiyo nikapiga Hesabu jamaa atakua alilamba zaidi ya Millions 4+.
Daaah... Nikashawishika.
Bet of the Day ilofatia namie nikajitutumua. Kwa Mara ya kwanza nikaweka ka 10,000 kangu nikatulia. Odds zilikua 10.
Khaaaa... Kweli nikashinda.
Kesho mapeema nikaenda pale Premier (Mwananyamala A kuelekea Komakoma) nikavuta 100,000 yangu safiii...
Basi nikazidi kupata confidence.
Kumbe kuna hela za burebure namna hii.
Basi ikawa stake zangu natupia kuanzia 10, 000 kwenda juu..
Siku nimepinda sana, naweka 5000. Mara nakula, Mara naliwa.
Nakumbuka Mara ya mwisho kula hela nyingi ni Final ya UEFA.
Bet of the day ilikua Madrid ashinde ndani ya dakika 90 na pia timu zote zifungane magoli.
Odds zilikua 7. Nikaweka stake ya 15,000.
Kweli bana, wakatoka 4-1.
Kesho nikavuta 90,000 yangu safiiii....
Nikaendelea kama kawaida.
Nakula, naliwa...
Sasa Leo :
Nikakaa chini na kufanya Auditing ya biashara hii.
Nimeliwa shingapi.
Nimekula shingapi.
Net profit shingapi.
Bahati nzuri huwa nabeti online.
Hivo records zote ninazo.
Nimepitia accounts zangu zote Mbet, Premier Bet, Sportpesa, Mkekabet na Princess Bet.
Total Profit made is 177,000.
Total Loss incurred is 397,500.
Net Profit is -220,500.
Hapo sijagusia mikeka ya bukubuku nayowekaga kila siku kwenye Jackpot ya Perfect 12 ya Mbet. Kila siku naliwa tu.
Yani kifupi ni kuwa mwisho Wa siku mimi ni Loser.
Kubeti ni mchezo Wa kuhamisha pesa toka kwa masikini kuwajazia Matajiri.
Nimeachana na habari za kubeti Rasmi Leo hii 30 July 2017.
Mdogo wenu CCNP
Mwanzo nilikua muoga sana, nikawa naweka stake ya sh. 500 tu. Nikila saana nakula 900 labda. Na ikitokea nimeliwa kajero kangu hakaniumi sana. Si jero tu!!
Siku moja nipo kituo cha kubetia (Premier) nikashuhudia jamaa mmoja anaweka stake ya 450,000 kwenye Bet of the day.
Kwamba Juve, Atletico na Santos wote washinde. Odds zilikua 11.
Na kweli kesho kuchek matokeo timu zote zimeshinda.
Kwahiyo nikapiga Hesabu jamaa atakua alilamba zaidi ya Millions 4+.
Daaah... Nikashawishika.
Bet of the Day ilofatia namie nikajitutumua. Kwa Mara ya kwanza nikaweka ka 10,000 kangu nikatulia. Odds zilikua 10.
Khaaaa... Kweli nikashinda.
Kesho mapeema nikaenda pale Premier (Mwananyamala A kuelekea Komakoma) nikavuta 100,000 yangu safiii...
Basi nikazidi kupata confidence.
Kumbe kuna hela za burebure namna hii.
Basi ikawa stake zangu natupia kuanzia 10, 000 kwenda juu..
Siku nimepinda sana, naweka 5000. Mara nakula, Mara naliwa.
Nakumbuka Mara ya mwisho kula hela nyingi ni Final ya UEFA.
Bet of the day ilikua Madrid ashinde ndani ya dakika 90 na pia timu zote zifungane magoli.
Odds zilikua 7. Nikaweka stake ya 15,000.
Kweli bana, wakatoka 4-1.
Kesho nikavuta 90,000 yangu safiiii....
Nikaendelea kama kawaida.
Nakula, naliwa...
Sasa Leo :
Nikakaa chini na kufanya Auditing ya biashara hii.
Nimeliwa shingapi.
Nimekula shingapi.
Net profit shingapi.
Bahati nzuri huwa nabeti online.
Hivo records zote ninazo.
Nimepitia accounts zangu zote Mbet, Premier Bet, Sportpesa, Mkekabet na Princess Bet.
Total Profit made is 177,000.
Total Loss incurred is 397,500.
Net Profit is -220,500.
Hapo sijagusia mikeka ya bukubuku nayowekaga kila siku kwenye Jackpot ya Perfect 12 ya Mbet. Kila siku naliwa tu.
Yani kifupi ni kuwa mwisho Wa siku mimi ni Loser.
Kubeti ni mchezo Wa kuhamisha pesa toka kwa masikini kuwajazia Matajiri.
Nimeachana na habari za kubeti Rasmi Leo hii 30 July 2017.
Mdogo wenu CCNP