Kublid damu nyeusi

GlorytoGod

Senior Member
Joined
Sep 8, 2012
Posts
158
Reaction score
50
wakuu heshima kwenu, mimi ninatatizo japokuwa sina uhakika kama ni tatizoimani nitapata majibu mazuri, lakini kwa kuwa ninaamini huku kuna wataalam wengi wa afya nina mimi ni kama mwezi wa nne sasa wakati wa period ninakuwa nablid damu nyeusi wandugu nisaidieni tatizo linaweza kuwa ni nini?

Nitashukuru sana kwa majibu yenu mazuri
 
Poleee
tuwasubiri wajuzi watoe msaada
 
May be umelibreed jini mahaba coz ndo rangi yake hiyo.NATANIA WEE USIJE NINUNIA BURE NASIKIA MKIWA KWENYE MP MNA MIHASIRA.Mi ni mtaalamu wa matani tuwasubiri wataalamu wa afya si eti dia eh.
 
Mkuu GlorytoGod,

Pole, ..mara nyingi kutokwa damu nyeusi(huashiria kiwango kikubwa cha damu/damu iliyotoka kwa muda mrefu).

Matatizo hayo, yanaweza kutokea hasa wakati wa hedhi, ni vizuri kujua mzunguko wako ni siku ngapi, je unakuwa hedhi siku ngapi, kama kuna kuwa na damu inayotoka kati ya mzunguko na mzunguko? Je, kuna wakati damu hotoka kama "mabonge mabonge"?

Je, kizunguzungu, kukosa nguvu, wakati mwingine kupoteza fahamu(kuzimia) hutokea?
-kutegemeana na Umri, dawa uzitumiazo(kama unatumia), uwezekano wa magonjwa mengine ya mfumo wa damu..yanaweza pia kusababisha.

Ni vyema kufika hospitali mapema kujua hasa shida iko wapi.
 
Last edited by a moderator:




Nashukuru sana mkuu ila mimi siumwagi hata kdog, labda usikie kiuno ni kizito kama umebeba mzigo mzito kiunoni na hasira sana ambayo ctaki hata mtu anisemeshe, ila chakushangaza damu inakuwa nyeusi ila cio mabonge ni kawaida tu ila tatizo ni kwanini nyeusi na cio kama damu ya kawaida?
 
May be umelibreed jini mahaba coz ndo rangi yake hiyo.NATANIA WEE USIJE NINUNIA BURE NASIKIA MKIWA KWENYE MP MNA MIHASIRA.Mi ni mtaalamu wa matani tuwasubiri wataalamu wa afya si eti dia eh.


mmh Billie huu utani wako kwenye magonjwa sichelewi kuku.....
shukuru mungu uko mbali
 
nenda hospitali ukafanyiwe uchunguzi wakina mara nyingi hiyo huwa ni "pelvic bleach" inatokea kama kuna infection kwenye kizazi, nakushauri uwahi hospitali kwa uchunguzi kwani ukizembea unaweza kuwa tasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…