Kuboresha elimu, Wakuu wa shule wazibitiwe

Jstrong

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
60
Reaction score
13
Elimu yetu inachezewa na wengi wakiwemo wakuu wa shule
Hawa wamejisahau sana
1wengi wao elimu zao ndogo kuliko walimu wanaowaongoza tatizo linaanzia hapo kwani ukipinga chochote ni dharau
2 Matumizi ya fedha yote yapo mikononi mwao tu wengi hawahusishi walimu wenzao kwa dharau na ubadhirifu tu.
3 kupunja walimu malipo ktk za ziada.huwez amin taratibu hazifuatwi kabisa,wanalipa waonavyo
4 kuondoa molari kwa walimu.Serikali mapungufu yake yanavumilika lakini sio hawa watu, inafika kipindi mwalimu anaona shule haimuhusu na ndio sababu ya nidham kuporoka sn kwa wanafunz.
Kwa ambao mpo nje ya tasnia hamuwez jua ili maendeleo ya elimu kwa aina hii ya wkuu wa shule ni ndoto kabisa.
 

Kweli.
 
Kuna ukweli kwenye bandiko lako lakini angalizo kwenye pointi:
  1. Uongozi ni zaidi ya elimu aliyonayo mtu, sidhani wala kuamini kuwa kuwa na elimu kidogo zaidi ya wale unaowaongoza inasababisha mtu kutokuwa kiongozi mzuri. Uongozi ni skill, ni attitude amayo wakati mwingine haifundishwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…