Kucary bila hata sap

Kucary bila hata sap

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,166
Reaction score
3,077
mimi n mwanafunz nmemaliza hapo mliman lakin kuna course moja ya research methodology inayosimamia na doctor wiliam,ile course ilitakiwa tukafanye reseach lakin kutokana na ufinyu wa budget wakatuambia tuandike research pepar na tukafanya ivo.pale uds colledge ya cass unatakiwa kufikisha marks 16 ili ufanye UE.sisi tulipewa test1 na kuandika research,lakin research ilichukua mda sana bila kupewa matokeo yake,tukafanya UE na matokeo ya semista yakatoka bila ya hyo course kuwemo.leo matokeo yametoka lakin cha ajabu nmeandikiwa cary ova....
nauliza je hilo suala linawezekana?
kama research nmefeli haikunifikisha 16 je n kosa la nan?
 
Pole boss, jaribu kucheki ya uongozi wa COSS ili wakupe vigezo na masharti. Nawafaham wadau wangu wanne na kama ww.

William weka mbali na watoto.
 
Hebu chek prospector ya chuo inasemaje huenda ikawa wapo sahihi ila ilitakiwa ujue mapema kama una cary kabla ya UE pole ndugu yangu.
 
Kujua ni kosa la nani inaweza isikusaidie kwa sasa mi nakushauri kawaone tu wahusika
 
Shukran wadau,iv ndo npo kwenye gari naenda ila sijajua niende ofisin kwa mwalim husika au kwenye uongoz wa cass
 
Huyu mwalin bna matokeo yalitakiwa yatoke semista ya kwanza,hakutoa ndo kaunganisha na ya semista hii hapa,kwenye prospecta hamna utaratibu kama huo
 
We ---- nn ulitaka niandikaje au umeskia naandika insha
 
Back
Top Bottom