Kucha za bandia ni hatari sana

Bulichekah,

Na ninahisi yanaweza kuambuikiza tetanus haya makucha!

Mbona hizi kucha hazina makali yoyote....hata kujikuna tu huwa Ni shida[/QUOTE]

kwel kbs hata hazina ukali wwt maana km mimi kujikuna mpk anikune baby wang maana nikijikuna nazo hazisaidii
 
Hata mie najua ni nene fulani hivi,huwa sio kali mara nyingi

Kucha natural huwa zinakwaruza zaidi ya hizi za kubandika

kwl kbs maana ata kucha za kubandika huez ata kumfinya mtu vzr
 
Siyapendagi hayo ma kucha basi tu nawavumilia mashoga zangu.kama jini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…