Kucha Zako Za Mikononi Zinavyoweza Kuonyesha Afya Yako jinsi ilivyo Tuwe Makini Sana kuchunguza Afya Zetu.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363

Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele.



Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi



Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo ya ini kama ugonjwa Homa ya ini (Hepatitis) au homa ya manjano




Ukucha ukionyesha mwezi ya rangi inaonyesha ugonjwa wa kisukari iwezekanavyo , wakati kucha yako kwa mbele ina rangi ya njano inamaanisha mwili wako una maambukizi ya vimelea aka Fangasi sugu


Mstari mweusi kwenye kucha unaweza kuonyesha mwanzo wa Maradhi ya Melanoma aina ya Saratani ya ngozi



Madoa meupe kwenye kucha yanaonyesha mwili wako una Upungufu wa vitamini mwilini au athari ya ugonjwa wa Mzio

ikiwa kucha zako zipo kama msumari umepinda au kubanwa Dalili mwili wako una Upungufu wa Vitamini B-12 na Upungufu wa Madini ya Chuma mwilini




Kucha yako ina mwezi mdogo sana kwa kawaida huonyesha kinga ya mwili wako ipo chini na una tatizo la kumeza chakula. Huenda ikatokea kutokana na kimetaboliki polepole na kuzidiwa kwa Sumu mwilini.




Mwezi mweupe ulioundwa vizuri ni kiashiria cha afya nzuri ya Tezi na Mmeng'enye mzuri wa chakula tumboni. Huu ndio ukucha wa Mtu Mwenye Afya nzuri.👍

Rangi ya bluu karibu na nusu ya mwezi kwenye ukucha wako inaonyesha una uwezekano wa Matatizo ya Mapafu au Mzunguko wa Damu Viungo havipati hewa ya oksijeni ya kutosha
 

Attachments

  • UKUCHA WA KIKE.jpg
    50.6 KB · Views: 32
  • UKUCHA WA UGONJWA TEZI YA SHINGO.jpg
    32.3 KB · Views: 40
Huu ni uzushi kama uzushi mwingine tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…