Habari ndugu zangu, natumai mu wazima
Nakuja na mtazamo wangu kwa hili kundi la kina dada kujitangaza kutafuta waume. Kiukweli wengi wao umri kidogo umesogea lakini bado hawajakua wala kujifunza.
Unakuta hadi anafika umri wa miaka 30 na kuendelea hajaolewa anakuja hapa na kutangaza vigezo kibao kama ambaye anatafuta bidhaa fulani.
Nawakumbusha kuwa kuchagua sana ndio kulikofanya hadi sasa uwe unajitangaza kutafuta mume. Tafuta mtu mwenye upendo na heshima. Masuala ya miaka, makabila hivyo havina umuhimu. Mpaka amekufata amejua anaweza kukumudu.
Nimemaliza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja na mtazamo wangu kwa hili kundi la kina dada kujitangaza kutafuta waume. Kiukweli wengi wao umri kidogo umesogea lakini bado hawajakua wala kujifunza.
Unakuta hadi anafika umri wa miaka 30 na kuendelea hajaolewa anakuja hapa na kutangaza vigezo kibao kama ambaye anatafuta bidhaa fulani.
Nawakumbusha kuwa kuchagua sana ndio kulikofanya hadi sasa uwe unajitangaza kutafuta mume. Tafuta mtu mwenye upendo na heshima. Masuala ya miaka, makabila hivyo havina umuhimu. Mpaka amekufata amejua anaweza kukumudu.
Nimemaliza!
Sent using Jamii Forums mobile app