WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Maneno ya mitaani hatimaye huingia katika msamiati wa lugha rasmi.Boss,
Je ni neno rasmi au ni lugha za mitaani maana nalisikia na kulisoma hata kwenye vyombo vya habari.
Tatizo ni jinsi linavyotumika - unalisikia kila mahali.. mara kuchakachua wagombea, mara kuchakachua mafuta?Nilidhani kwamba kuchakachua ni
"adulteration" kwa lugha ya wenzetu .. au nakosea? na kama ndio, je inawezekana vipi kuchakachua wagombea wa ubunge au udiwani?