Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Mimi kiingereza sijui vizuri. Ila nasikia kwa 80% na nikisoma naelewa kwa 85%
Tupia maneno ya kuchambana hapa kwa lugha ya kiingereza.
Nimeweka hapa hii sababu nimemsikia mtangazaji wa kiliFm, akiandaa shindano la kuchambana kwa kingereza
Huyu jamaa anaitwa kijumbe. Ni dume lakini linaendesha kipindi cha cha taarabu na linaongea kimipasho kama kina Mishi bomba.
Tupia maneno ya kuchambana hapa kwa lugha ya kiingereza.
Nimeweka hapa hii sababu nimemsikia mtangazaji wa kiliFm, akiandaa shindano la kuchambana kwa kingereza
Huyu jamaa anaitwa kijumbe. Ni dume lakini linaendesha kipindi cha cha taarabu na linaongea kimipasho kama kina Mishi bomba.