Kuchanganya lugha

Jogoo10

Senior Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
100
Reaction score
11
Heshima kwenu wakuu, kuna wengi nawashangaa wakiongea kiswahili wanatia na kingereza, wakiandika ndio balaa nusu kiswahili nusu kingereza mchezo huu upo hapa Jf. Mbona tukiongea kichaga ni hicho hicho tu, au kinyamwezi, kisukuma,kimasai,kikuria,kihaya,kipare,kizigua na kadhalika. Tuwacheni ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…