barua haina hata muhuri ,huo ni upigaji wa wazi kabisaHabari wananzengo,
Tumesambaziwa barua na na chama cha mapinduzi kutuomba kuchangia kuboresha zoezi la kulipa kura, lakini mie nahisi harafu na rushwa na kupigwa maana daftari ya kuliga kura inaboreshwa na Tume, iweje chama ndiyo kituletee barua.naomba kusaidiwa
Hawahusiki Moja Kwa Moja lakini huweka mawakala ambao chama kinatakiwa kuona namna ya kuwezesha chakula au poshoTume inaboresha Daftari la Kudumu la Wapiga kura kwa ajili ya Uchuguzi Mkuu.
TAMISEMI inahusika na uandikishaji wa Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Hakuna chama kinahusika moja kwa moja na jukumu la Wapiga kura, isipokuwa vyama ni wadau tu.
Hapo sawaHawahusiki Moja Kwa Moja lakini huweka mawakala ambao chama kinatakiwa kuona namna ya kuwezesha chakula au posho
Sisi wenzako tumekwisha changa siku nyingi, mambo ya chama usihoji.Habari wananzengo,
Tumesambaziwa barua na na chama cha mapinduzi kutuomba kuchangia kuboresha zoezi la kulipa kura, lakini mie nahisi harafu na rushwa na kupigwa maana daftari ya kuliga kura inaboreshwa na Tume, iweje chama ndiyo kituletee barua.
Naomba kusaidiwa. OR TAMISEMI