Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki.

Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila.

Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya kuchapiwa (kufumania/ kutoa talaka baada ya kufumania) n.k

Wakati mwingine historia huweza kujirudia kwa mchapiwaji. Watu wengi wanao lalamika.kuchapiwa wengi wao Wana historia ya kuchapiwa miaka ya nyuma.

Ama kwa upande wa Makabila yanayo chapiwa wake zao binafsi nimegundua wapare walio wengi huchapiwa zaidi. Why do I say that? Experience ya watu ambao nimeshuhudia wakiachana na wake zao baada ya fumanizi au wakigongewa mademu zao wengi wao ni wapare aisee . ( Wapare naomba mkalitazame na hili )

YANI imefikia hatua nikisikia mtu ana complain kuchapiwa huwaga na assume.ni mpare..

UFANYE NINI KUEPUKA KIZAZI CHAKO KUCHAPIWA?

1. Usile mke wa mtu.

2. (Usikae na demu anae cheat/ usi tolerate mwanamke anae cheat) Kutolerate demu anae cheat ni chanzo kikuu cha kukaribisha laana/roho ya kuchapiwa kwako na kwa kizazi chako. Unapokuwa una vumilia mwanamke kucheat unakuwa unapeleka taarifa kwenye jamii kwamba ur okay with an unfaithful woman. So the society will continue to give to you and to your offspring the same kind of women over and over again.

Ukigundua mwanamke anatoka nje kimapenzi BASI unatakiwa kumuacha hapo hapo na usirudi nyuma tena. Tafuta mwanamke mwingine if she do the same achana nae tafuta mwingine tena. Utapeleka taarifa kwenye jamii kwamba hutaki mwanamke asie mwaminifu katika mahusiano and at the end of the day the society will give you what you want (deserve)

Kuna koo au familia nyingine huwaga hakunaga kabisa ujinga ujinga wa mke sijui kucheat au mtu kubambikiwa mimba. Hakunaga kabisa upuuzi kama.huo..lakini koo zingine upuuzi kama huo ni jambo la kawaida.

Nimalize KWA kusema: POLE SANA MZEE HAJI
 
Mkuu katika nyuzi zako zooote ulizo wahi anzisha naweza sema uzi huu ni mbovu na haueleweki pia sijaelewa chochote mpaka najuta kuufungua
avatar-51.gif
JamiiForums2073952431.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba Moja sahihi namba mbili imekaa kimazingira zaidi

Wewe ndio una wafundisha watu jinsi ya KUKUTREAT. Kama una.demu wako au mke wako halafu watu wengine Wana mgonga na wewe una chukulia poa wanaume wataona ahaa kumbe jamaa sio shida zake kuchapiwa mwisho wa siku watakuwa wanakuchapia na mke vivyo hivyo akijua mke ulie kkua nae mwanzo alikuwa anagawa hovyo na wewe UKAWA unachukulia poa BASI hata yeye ata gongwa tu
 
Nimesoma walao kidogo mambo ya universe law, kama sheria za ulimwengu zingekuwa zinadili na vitu kama hivi hata maisha yasingekuwepo!
 
Mkuu katika nyuzi zako zooote ulizo wahi anzisha naweza sema uzi huu ni mbovu na haueleweki pia sijaelewa chochote mpaka najuta kuufunguaView attachment 2478559View attachment 2478561

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni kichaa kabisa. YAANI mimi kukwambia mwanaume Usikae na mwanamke anae cheat na kwamba ukigundua mwanamke/mke wako ana cheat unatakiwa kuachana nae hapo hapo ni kitu kibovu hicho? Basi utakuwa na kichwa kidogo sana mkuu ndio maana point yako haina hata hoja.
 
Babu katawaliwa na Wajerumani
Baba katawaliwa na Tanu na CCM
Mimi nimetawaliwa na CCM
Mmhh aiseee ngumu hii🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom