LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki.
Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila.
Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya kuchapiwa (kufumania/ kutoa talaka baada ya kufumania) n.k
Wakati mwingine historia huweza kujirudia kwa mchapiwaji. Watu wengi wanao lalamika.kuchapiwa wengi wao Wana historia ya kuchapiwa miaka ya nyuma.
Ama kwa upande wa Makabila yanayo chapiwa wake zao binafsi nimegundua wapare walio wengi huchapiwa zaidi. Why do I say that? Experience ya watu ambao nimeshuhudia wakiachana na wake zao baada ya fumanizi au wakigongewa mademu zao wengi wao ni wapare aisee . ( Wapare naomba mkalitazame na hili )
YANI imefikia hatua nikisikia mtu ana complain kuchapiwa huwaga na assume.ni mpare..
UFANYE NINI KUEPUKA KIZAZI CHAKO KUCHAPIWA?
1. Usile mke wa mtu.
2. (Usikae na demu anae cheat/ usi tolerate mwanamke anae cheat) Kutolerate demu anae cheat ni chanzo kikuu cha kukaribisha laana/roho ya kuchapiwa kwako na kwa kizazi chako. Unapokuwa una vumilia mwanamke kucheat unakuwa unapeleka taarifa kwenye jamii kwamba ur okay with an unfaithful woman. So the society will continue to give to you and to your offspring the same kind of women over and over again.
Ukigundua mwanamke anatoka nje kimapenzi BASI unatakiwa kumuacha hapo hapo na usirudi nyuma tena. Tafuta mwanamke mwingine if she do the same achana nae tafuta mwingine tena. Utapeleka taarifa kwenye jamii kwamba hutaki mwanamke asie mwaminifu katika mahusiano and at the end of the day the society will give you what you want (deserve)
Kuna koo au familia nyingine huwaga hakunaga kabisa ujinga ujinga wa mke sijui kucheat au mtu kubambikiwa mimba. Hakunaga kabisa upuuzi kama.huo..lakini koo zingine upuuzi kama huo ni jambo la kawaida.
Nimalize KWA kusema: POLE SANA MZEE HAJI
Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila.
Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya kuchapiwa (kufumania/ kutoa talaka baada ya kufumania) n.k
Wakati mwingine historia huweza kujirudia kwa mchapiwaji. Watu wengi wanao lalamika.kuchapiwa wengi wao Wana historia ya kuchapiwa miaka ya nyuma.
Ama kwa upande wa Makabila yanayo chapiwa wake zao binafsi nimegundua wapare walio wengi huchapiwa zaidi. Why do I say that? Experience ya watu ambao nimeshuhudia wakiachana na wake zao baada ya fumanizi au wakigongewa mademu zao wengi wao ni wapare aisee . ( Wapare naomba mkalitazame na hili )
YANI imefikia hatua nikisikia mtu ana complain kuchapiwa huwaga na assume.ni mpare..
UFANYE NINI KUEPUKA KIZAZI CHAKO KUCHAPIWA?
1. Usile mke wa mtu.
2. (Usikae na demu anae cheat/ usi tolerate mwanamke anae cheat) Kutolerate demu anae cheat ni chanzo kikuu cha kukaribisha laana/roho ya kuchapiwa kwako na kwa kizazi chako. Unapokuwa una vumilia mwanamke kucheat unakuwa unapeleka taarifa kwenye jamii kwamba ur okay with an unfaithful woman. So the society will continue to give to you and to your offspring the same kind of women over and over again.
Ukigundua mwanamke anatoka nje kimapenzi BASI unatakiwa kumuacha hapo hapo na usirudi nyuma tena. Tafuta mwanamke mwingine if she do the same achana nae tafuta mwingine tena. Utapeleka taarifa kwenye jamii kwamba hutaki mwanamke asie mwaminifu katika mahusiano and at the end of the day the society will give you what you want (deserve)
Kuna koo au familia nyingine huwaga hakunaga kabisa ujinga ujinga wa mke sijui kucheat au mtu kubambikiwa mimba. Hakunaga kabisa upuuzi kama.huo..lakini koo zingine upuuzi kama huo ni jambo la kawaida.
Nimalize KWA kusema: POLE SANA MZEE HAJI