HUWA NAMBA YANGU HIO 075..Hasa namba ngeni ikiingia mf.075.....MAMBO VIPI.
Huwa unafikiria ni mtu wa aina gani kila meseji anaekutumia yeye anaadika herufi kubwa mwanzo mwisho sipendiiii....!!!
Hahahaakuna jamaa anapenda sana heruf kubwa sasa juzi kantumia smas kwa maherufi makubwa kama kawaida yake basi mm nkamjibu "naona unapenda sana herufi kubwa" nkashangaa kanijib kwa herufi ndogo[emoji16]
ππππ kuna meseji ukitumiwa iinabidi tu uulize unamaanisha nini?Bora huyo anayeshout ila aandike vitu vinaeleweka, kuna wale simu zao hazina irabu, na wa kuchanganya l na r na wale wa x badala ya s[emoji134][emoji134][emoji134]
Dah kmmk[emoji1787][emoji1787][emoji1787]achana na mimiKWA7BU GAN XX HUJIBU?[emoji23]