Kuchatishana herufi kubwa kunaboa sana

Hasa namba ngeni ikiingia mf.075.....MAMBO VIPI.

Huwa unafikiria ni mtu wa aina gani kila meseji anaekutumia yeye anaadika herufi kubwa mwanzo mwisho sipendiiii....!!!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Namtafakarigi Sana mda mwingine naona kana nimtu wa makamo Sana au huwa nadhani nimgeni katika simu...
 
Si bora kuchatishwa kwa herufi kubwa.

Kuna wale anaandika. "Habali" inakemera kweli utadhani keyboard yake haina herufi 'r'
Acha hiyo wale wa "jomoni" umewadahau wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]:wanakera Sana
 
Hasa namba ngeni ikiingia mf.075.....MAMBO VIPI.

Huwa unafikiria ni mtu wa aina gani kila meseji anaekutumia yeye anaadika herufi kubwa mwanzo mwisho sipendiiii....!!!

[emoji23][emoji23][emoji23] ni kama wagombezwa vile
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ni kama wagombezwa vile
ni shida,
Kuna pisi moja ilikuwa hainijibu sms zangu nikatumia namba ngeni nilimuandikia "HABARI ZA LEO? Aisee alinijibu fasta tena kwa uoga nilichati aliponiuliza nani nikajitambulisha alinipigia simu akicheka sana akanambia alidhani baba yake maana huwa anatumia herufi kubwa ndio ulikuwa mwanzo wakuwasiliana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ