Kuchelewa Jezi za Simba nani wakulaumiwa?

Kuchelewa Jezi za Simba nani wakulaumiwa?

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Katika hali isiyo ya kawaida hadi sasa Timu ya Simba haijazindua jezi itazotumia msimu huu....

Kupitia msemaji wa klabu "udhamini ndo sababu ya kuchelewa"

Je Simba hawakujua kuna swala la Jezi hadi wachelewe mchakato wa udhamini?
 
Kwa akili yako vunja bei angechelewesha kutangaza jezi bila sababu ya msingi?yaani awekeze bilioni 2 halafu acheleweshe jezi kwa makusudi,mmeshambiwa kuna jambo limetokea lililo nje ya uwezo wake,eleweni hivyo.
 
Uzi mpya huo tayari
IMG_20220721_194253.jpg
 
Wote tunajiuliza........Au itakuwa Mijezi Mibaya kama Ya Yanga..?
 
Kanjibai na vunjabei wameenda zao china hapo kubandua logo na kubandika mbet.kisha tunaambiwa

Zinatoka ulaya
 
Katika hali isiyo ya kawaida hadi sasa Timu ya Simba haijazindua jezi itazotumia msimu huu....

Kupitia msemaji wa klabu "udhamini ndo sababu ya kuchelewa"

Je Simba hawakujua kuna swala la Jezi hadi wachelewe mchakato wa udhamini?


ili tuanze kulaumu ni lazima tujue sababu.. na kumbuka pia kuna urahs kulaumu ukiwa nje ya utendaji.. mi nafikiri sababu ni mara ya kwanza tuwafunikie kombe. hata yanga mwaka jana au juzi walichelewa pia
 
Katika hali isiyo ya kawaida hadi sasa Timu ya Simba haijazindua jezi itazotumia msimu huu....

Kupitia msemaji wa klabu "udhamini ndo sababu ya kuchelewa"

Je Simba hawakujua kuna swala la Jezi hadi wachelewe mchakato wa udhamini?
Tust the process
 
Katika hali isiyo ya kawaida hadi sasa Timu ya Simba haijazindua jezi itazotumia msimu huu....

Kupitia msemaji wa klabu "udhamini ndo sababu ya kuchelewa"

Je Simba hawakujua kuna swala la Jezi hadi wachelewe mchakato wa udhamini?
Sababu zimetolewa labda unajingine
 
Katika hali isiyo ya kawaida hadi sasa Timu ya Simba haijazindua jezi itazotumia msimu huu....

Kupitia msemaji wa klabu "udhamini ndo sababu ya kuchelewa"

Je Simba hawakujua kuna swala la Jezi hadi wachelewe mchakato wa udhamini?
Msemaji wa Unyamani kafafanua vizuri bwana uto, mnataka afafanue mara ngapi mlizike?
 
Kwa akili yako vunja bei angechelewesha kutangaza jezi bila sababu ya msingi?yaani awekeze bilioni 2 halafu acheleweshe jezi kwa makusudi,mmeshambiwa kuna jambo limetokea lililo nje ya uwezo wake,eleweni hivyo.
Vunja Bei hajawekeza Bilioni2 ww..

Kolo Wazee wa kuongeza 00 zero zero wanaumbukaaa

Watumie zile B20 za muhindi kama wanajiweza...??
 
Kama vipi mashabiki tuandamane! Haiwezekani mpaka sasa timu na mashabiki tunatumia nembo ya mdhamini wa zamani, yaani sportpesa!

Hii ni hujuma ya wazi kabisa kwa mdhamini wetu mpya Mbet!
 
Back
Top Bottom