Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Kwa sababu unapokuwa na viongozi ambao hawajui hatima yao, ina maana hawawezi kufanya kazi, hawawezi kufanya planning two weeks ahead, wanakuwa katika hali ya hatihati.
Kwahiyo, in effect, cabinet isipotangazwa, you are bringing the country to a standstill. Inaonyesha indecision on the part of the president.
Mashabiki wa mpira ukiwaambia wapange timu ya taifa, they will do it in an instant. Wapo wabunge, wapo viongozi wa Chama, why can't the president coin a cabinet? It reminds me of that joke:
St. Peter alikwenda Motoni, akakuta kwamba it was very cold, everyone there was shivering, even the Devil was shivering with cold, halafu pembeni there was a large pile of wood. Akamuuliza Shetani, "Kwa nini huchukui hizi kuni kutengeneza moto? Motoni hakupaswi kuwa baridi. Kunapaswa kuwa na lava na sulphure.
Kwahiyo, in effect, cabinet isipotangazwa, you are bringing the country to a standstill. Inaonyesha indecision on the part of the president.
Mashabiki wa mpira ukiwaambia wapange timu ya taifa, they will do it in an instant. Wapo wabunge, wapo viongozi wa Chama, why can't the president coin a cabinet? It reminds me of that joke:
St. Peter alikwenda Motoni, akakuta kwamba it was very cold, everyone there was shivering, even the Devil was shivering with cold, halafu pembeni there was a large pile of wood. Akamuuliza Shetani, "Kwa nini huchukui hizi kuni kutengeneza moto? Motoni hakupaswi kuwa baridi. Kunapaswa kuwa na lava na sulphure.