Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio kauli ya serikali iliyotolewa leo , na kwamba mambo hayo mawili yamesababisha kuchelewa kukamilika kwa matengenezo ya vichwa vya Treni hiyo .
Chanzo: Swahili Time
Toa Maoni yako ukizingatia kwamba huko mwanzo walituambia hivi
=======
Serikali imesema majaribio ya SGR (Dar es Salaam-Morogoro) hayakuanza Mei 2023 kama ilivyopangwa kwa sababu vichwa vya treni havikukamilika kwa wakati.Kutokamilika kumetokana watengenezaji kutopata baadhi ya vipuri kutokana na athari za UVIKO19 na vita ya Ukraine na Urusi.
Serikali imesema kichwa cha kwanza cha treni ya SGR kitafika nchini Julai mwaka huu, na pindi kitakapofika majaribio yataanza.Awali majaribio yalipangwa kufanyika Mei mwaka huu, lakini imeshindikana kutokana na vichwa kutokamilika kwa wakati.
Chanzo: Swahili Time
Toa Maoni yako ukizingatia kwamba huko mwanzo walituambia hivi
=======
Serikali imesema majaribio ya SGR (Dar es Salaam-Morogoro) hayakuanza Mei 2023 kama ilivyopangwa kwa sababu vichwa vya treni havikukamilika kwa wakati.Kutokamilika kumetokana watengenezaji kutopata baadhi ya vipuri kutokana na athari za UVIKO19 na vita ya Ukraine na Urusi.
Serikali imesema kichwa cha kwanza cha treni ya SGR kitafika nchini Julai mwaka huu, na pindi kitakapofika majaribio yataanza.Awali majaribio yalipangwa kufanyika Mei mwaka huu, lakini imeshindikana kutokana na vichwa kutokamilika kwa wakati.