Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Za ndani huyu jamaa alidekezwa, kama kawaida yake akaendelea kuchelewa kwenye mazoezi, sasa juzi kayatatiba alidhani atanyenyekewa , kaenda mazoezini kachelewa halafu akamfokea kocha msaidizi, Kapama naye amekutana na dhahma hiyo hiyo.
Chama alipata kiburi kwamba hata akichelewa mazoezini hawezwi kuwekwa benchi kwasababu ana backup ya mashabiki.
Chama alipata kiburi kwamba hata akichelewa mazoezini hawezwi kuwekwa benchi kwasababu ana backup ya mashabiki.