Naona watu wanasema hivyo ila sidhani kama hizo taarifa ni sahihi. Timu inaenda mazoezini na basi la timu, mchezaji atachelewaje mazoezini? Ukisema juzi kachelewa, juzi Simba imecheza na Wydad na kabla ya hapo walikuwa kambini.Za ndani huyu jamaa alidekezwa ,kama kawaida yake akaendelea kuchelewa kwenye mazoezi, sasa juzi kayatatiba alidhani atanyenyekewa , kaenda mazoezini kachelewa halafu akamfokea kocha msaidizi, Kapama naye amekutana na dhahma hiyo hiyo.
Chama alipata kiburi kwamba hata akichelewa mazoezini hawezwi kuwekwa benchi kwasababu ana backup ya mashabiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana usemiKila mtu anasema lake!
vipi Chama mwenyewe anasemaje kwani?
Tujue ukweli, Uongozi kama unaweza useme ukweli. Sisi mashabiki tumkatae huyo Chama kihalali.Hana usemi
Na Yanga Je?Simba wanasemajee Kwan kuhusu hilii!!!
Unaokoteza udaku huko. Simba baada ya game na wydad walirudi kambini. Amechelewa vipi mazoezi wakati kutoka kambini hadi uwanja wa mazoezi wanakwenda na basi la timu.Za ndani huyu jamaa alidekezwa, kama kawaida yake akaendelea kuchelewa kwenye mazoezi, sasa juzi kayatatiba alidhani atanyenyekewa , kaenda mazoezini kachelewa halafu akamfokea kocha msaidizi, Kapama naye amekutana na dhahma hiyo hiyo.
Chama alipata kiburi kwamba hata akichelewa mazoezini hawezwi kuwekwa benchi kwasababu ana backup ya mashabiki.
Okwi alikuwa hatari akienda Kampala Tu kurudi dar Kipengele ila alikuwa anafika siku ya game asubuhi jioni anakiwasha makelele yote yanaishaKati ya Chama na Okwi nani ni msumbufu zaidi?
Akufukuzaye akwambii toka. Mkuu wa hizi kazi GENTAMYCINE leta habari za ndaani hapa
Genta kasha wekwa kolokoloni anabweka ndani ya tengaAkufukuzaye akwambii toka. Mkuu wa hizi kazi GENTAMYCINE leta habari za ndaani hapa
Hahaaaaa jamaa anajionaga ni special sana humu JF.Genta kasha wekwa kolokoloni anabweka ndani ya tenga
Akikujibu ni tag tafadhali....angalau nitaamini kuwa kasimamishwaAkufukuzaye akwambii toka. Mkuu wa hizi kazi GENTAMYCINE leta habari za ndaani hapa