Mwanamke mama yakodaaah..... nyie wanawake......huwa haya mambo mnayweza sana. mmalizane huko huko. maana hakuna ushahidi hata mmoja ni umbea tu kama kawaida yenu mkikaa mnasukana...
Ni sawa. Upo sahihi. 🤣🤣🤣
Popoma yupo na ana uzi wa Chama umejaa misamiati tu.Genta kasha wekwa kolokoloni anabweka ndani ya tenga
Hiyo ilikuwa zamani sasa hivi mbona anasugua bench na Simba inashinda.
Unafoka kama nani?Chama arudishwe mazoezini haraka.
kama ofisa shabiki.Unafoka kama nani?