Mwaka jana ajira hizi zilitoka tarehe 16 mwezi wa 3, na serikali kufanya jambo jema kwa kutoa tamko juu ya kuchelewa. Kwakuwa inaoneka wazi kuwa ajira hizi zimechelewa tena,
tunaomba serikali kupitia wizara husika iseme neno juu ya kuchelewa kwa ajira hizi ili watu wafahamu kinachoendelea.
tunaomba serikali kupitia wizara husika iseme neno juu ya kuchelewa kwa ajira hizi ili watu wafahamu kinachoendelea.