ni jambo la hakima kwa serikali kufanya hivyoBora iwekwe wazi kuliko ukimya huu.
ni jambo la hakima kwa serikali kufanya hivyo
Labda ukute siyo serikali ninayoifahamu ya ccm....
ajira ni kesho yaan post zitatoka kesho
sawa, sasa post ni lini?Ajira mtaanza mwz April be culm
mwaka jana ajira hizi zilitoka tarehe 16 mwezi wa 3, na serikali kufanya jambo jema kwa kutoa tamko juu ya kuchelewa. Kwakuwa inaoneka wazi kuwa ajira hizi zimechelewa tena, tunaomba serikali kupitia wizara husika iseme neno juu ya kuchelewa kwa ajira hizi ili watu wafahamu kinachoendelea.
sawa, sasa post ni lini?
Yani walimu hamjui kwamba mnatakiwa mfanye nini mpaka sasa kweli kazi ipo, kwa serikali hii inayoendeshwa kwa matukio mtasubiri sana na kupeana kalenda kila siku acheni upuuzi unganeni mdai haki yenu.
wataachia mwezi huu
Endeleen kujipa moyo hadi October mkasimamie uchaguzi
Endeleen kujipa moyo hadi October mkasimamie uchaguzi
Weng Mnao Post Ugolo Ni Kwasbb Hamjasoma Ndio Maana Mnaongea Vapour 2,