KERO Kucheleweshwa ulipwaji wa boom ( Meals and accomodations ) ya elimu ya juu 2024/2025

KERO Kucheleweshwa ulipwaji wa boom ( Meals and accomodations ) ya elimu ya juu 2024/2025

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Don chandra

New Member
Joined
Nov 20, 2024
Posts
1
Reaction score
2
Vyuo vyote Tanzania vya elimu ya juu vimeshafunguliwa. Kadhia kubwa iliyopo kwa Sasa ni bodi ya mikopo kushindwa kuwapatia wanafunzi boom yaan meals and accomodations kitendo ambacho kinasababisha wanafunzi kushindwa kumaliza kulipa ada, na hasahasa kukosa mahitaji ya msingi ya maisha kitendo ambacho kinapelekea watu kuingia kwenye biashara hatarishi ili kukidhi mahitaji ya muhimu.

Bodi ya mikopo mpaka Sasa Iko kimya licha ya watu kulalamika huku yenyewe ikiendelea ku post maadhimisho ya miaka 20 ya HESLB bila kujali wanufaika wanateseka zaidi ya mwezi mzima Sasa. PAZA SAUTI KWA AJILI WA VIJANA WETU NA SERIKALI ISIKIE
 
Duh saiv naona helsb wanachelewesha sana boom aisee naelewa maisha ya chuo kama una hela ni magumu sana.
 
Back
Top Bottom