Mwanamke tu wa kawaida.Ndio umeweka bajeti ya Denti au Barmaid au mpita njia kama Huyu View attachment 1046470
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tunatofautiana,hiyo 30,000 ya vinywaji na misosi mi namaliza kila kituGuest 30,000
Vinywaji na misosi 30,000
Usafiri 10,000
Kifuta jasho 30,000
Haraka haraka 100,000!
Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
Kuna siku yamenipata mahesabu ya fasta fasta nikaona itakuwa 145,600/=
Nili-focus mbele zaidi safari yangu ikaishia sokoni.
Nilinunua mchele, sukari, tambi , maharage, dagaa na samaki.
Nahisi niliongeza siku za furaha nyumbani. Nilimpigia simu kuwa nimepata dharura, nikamrushia 15,000/=
Kilichoendelea ni siri yangu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikitaka kuchepuka, naangalia ni hotel gani nilipanga kuchepukia. Namchukua mke wangu tunaenda kuchepuka mimi na yeye.Guest 30,000
Vinywaji na misosi 30,000
Usafiri 10,000
Kifuta jasho 30,000
Haraka haraka 100,000!
Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
Lakini maumivu yako ni kama yanguLakini tunatofautiana,hiyo 30,000 ya vinywaji na misosi mi namaliza kila kitu
NB:gest 7,000
Duh bajeti nzuriYa kwangu chumba 10000 msosi 10000 nauli yake 10000 me nauli 800 =30800 tangu Mzee jiwe aingie nimepunguza sana uchepukaj kwa miezi 6 Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu za kiume zikishukaga watu wanakuwaga na excuses nyingi......hahahaha! Mara oooh buchani mara dagaa. Daaah! Wacha rijali tule makitu.Kweli hamna jipya.. Kuna siku nilitaka nipashe kiporo kwa ex wang.. Ila siku ya tukio nikaanza kujiuliza kuna kipi kipya, nikawaza hela ya lodge na risk ya wife kugundua nikajikuta nahairisha!!
30k chakula na vinywaji kwa watu wawili? Bei ya vinywaji unaijua labda wanywe fanta baridi, sasa mateso yote ya nini unachepuka uku unajibanabana kimatumizi, ni heri ubaki njia kuu, ukipenda anasa penda na gharama zake... Ushauri wangu wanaume bakini njia kuu utapata thawabu maradufuKwani hamna chakula kingine kwa bei hii zaidi ya chips yai? Kumbe huu mtandao ni wa matajiri 30,000 haiwatoshi Kula wawili. Huwa unatumia bei gani na hoteli gani?
Value for money.. Unatoa thamami ya pesa kutokana na binti gani umekutana nae....Lakini tunatofautiana,hiyo 30,000 ya vinywaji na misosi mi namaliza kila kitu
NB:gest 7,000
Now ua talking, good pointMimi nikitaka kuchepuka, naangalia ni hotel gani nilipanga kuchepukia. Namchukua mke wangu tunaenda kuchepuka mimi na yeye.
Maana kipya kinakua ni mazingira tu wala sio kitu kingine
Kwani kinywaji gani wewe unakunywa ? Bia zetu moja 2000, hatunywi kidhiki bia mbili mbili zinatosha. Msosi hatuli kama Kesho hatutakula. Au humu nyinyi ni watu wa Hennesy na lobsters?30k chakula na vinywaji kwa watu wawili? Bei ya vinywaji unaijua labda wanywe fanta baridi, sasa mateso yote ya nini unachepuka uku unajibanabana kimatumizi, ni heri ubaki njia kuu, ukipenda anasa penda na gharama zake... Ushauri wangu wanaume bakini njia kuu utapata thawabu maradufu
Happiness is a lifestyle
Akikujibu nishtueKwahio wewe mzuri?
Mwenyezi Mungu akujaalie, umefanya cha maana!Imeshanitokea hii, sema nae migenye yake ilikuwa imeshampanda ikabidi alipie gharama zotee na kunipa 50,000/= ya mafuta nikaongezea 20,000/= nikamnunulia mtoto wa dada yangu baiskeli used wakati ninarudi nyumbani