ninatatizo la kucheua kila ninapokula chakula chochote. nmekua nalo kwa muda mrefu si chini ya miaka 25. ukwel nasumbuka mana kila ninapokula mwili umejiweka kubehua si chini ya mara kumi. kero zaidi ninapokua hadhara napata ugumu mno kujizuia.
Naombeni msaada wa kujua chanzo na tiba ya tatizo hili na takwimu yake, asante.
Naombeni msaada wa kujua chanzo na tiba ya tatizo hili na takwimu yake, asante.