Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

Bashaija nafurahi nimekupunguzia stress. nimekuona mahala unalia kweli kweli.
toa mawazo yako basi hujawahi kutana na sampuli hii unipe maujanja?

Yeye na Mtambuzi lazima watakuwa wamekutana na sampuli hii!
 
Last edited by a moderator:
hio shida ndio inanipa shida. Shosti tatizo ni pale ambapo mnaenda kuspendi siku mbili tatu.
Gharama must Preta. awe amekodi gari ama lake yeye ndie inabidi a foot hio bili lasivo siendi.

orayt....kama ni hivyo basi nywele nabond....kope will be there to stay.....
kucha zinahimili mikiki kwa siku tatu siku nne.....
kimbembe kinakuja kwenye hips na tumbo.....mama weeee......
 
kwani huwa tunakagua mshindi wa fashion show, au just having good time,

By the way nadhani all those wigs, kucha, n.k they can stay even more than a month, sidhani kama huwa ni tatizo kwa wadada
 
Tuko una vituko! teh teh teh. Nimeipenda hio ya dellah, haimkatai mtu.
nitajuaje huyu ni mpenzi wa chap chap na huyu is for keeps?

Mapenzi ya chap chap ni yale unakutana na mtu gafla, mfano club, kwenye basi, kwenye semina nk, mkazoeana na mmoja akaomba tundi mkakubaliana linaenda kesho. Mpenzi wa kweli ni yule mnaanza na kuambizana nakupenda, alafu unajibu 'nipe mda ntakujibu', then vinafuata vijizawadi, maneno matamu matamu kwenye simu, vijiouting, then baada ya wiki kazaa unakuja kujibu nimekukubalia, na kutokea hapo suala la tundi sio la kudiscuss tena...
 
Ndio maana wanamosa beautiful things in the world kwa kuangalia urembo wa dukani! Umenikumbusha Song of Lawino Kongosho favourite.

Unaweza usipate hao masharobaro au misugardad, lkn mwisho wa siku ukapata real man!


Umenichekeshaje na song of Lawino? teh teh teh. Umetoa mfano mzuri.
Nikitaka niwe kama Lawino ina mana nipate bwana kama Okol wa zamani.
ulimwengu wa tech huu mwanaume wa kisasa muhimu. Nikitaka nipate Okol
wa kisasa awe na mtazamo ule wa song of Okol ni lazima nitumie
viweza urembo. Unaona nilivo dilema? :help:
 
bibi wee....inakuwaga shida sana......mimi huwa nasubiri tulewe chakari ndio shughuli iendelee....na ni mwiko kuover night....
hivi hizo gharama zote nilizotumia atanirudishia.......?
hehehe huyu ndio Preta bana, kwakweli JF bila preta ni sawa na baselona bila Messi
 
Last edited by a moderator:
orayt....kama ni hivyo basi nywele nabond....kope will be there to stay.....
kucha zinahimili mikiki kwa siku tatu siku nne.....
kimbembe kinakuja kwenye hips na tumbo.....mama weeee......


Tupo wote hapo. Hivi kope unaweza ukaoga na kuogelea zikahimili?
Naona tumbo ni kuanza tu diet teh teh teh. Hips Tuko kazema dera kwenda mbele.
 

Nasikia siku hizi ni nyie mnatuwekea kwa siri kwenye vinywaji hizi dawa ili tuwe na nguvu za ziada za kuwafikisha. Ya kweli hayo Kaunga?
 
kwani huwa tunakagua mshindi wa fashion show, au just having good time,

By the way nadhani all those wigs, kucha, n.k they can stay even more than a month, sidhani kama huwa ni tatizo kwa wadada

sun wu zinazokaa a month ni zile Original ambazo wanatumia watu kama akina Mwamvita.
Sie ambao mishahara ni laki 4 na nusu kwa mwezi ni full mchina. mara gundi sio ya
kutosha na the like. ndio woga unaingia hapo.
 
Last edited by a moderator:
Bashaija nafurahi nimekupunguzia stress. nimekuona mahala unalia kweli kweli.
toa mawazo yako basi hujawahi kutana na sampuli hii unipe maujanja?

Imeniuma bana Lizzy kulamba ban.
Back to topic,kuna siku niliopoa mzigo mumbai,yaani ilikuwa shughuli kuvua sari nusu saa mpaka ka niniliyu kanaishiwa nguvu.
Madem wa kibongo tushawazoea,mimi huwa ninawaambia watangulie chumbani wajiandae,nikiingia chumbani yuko kwenye shuka.
 
Last edited by a moderator:
Nasikia siku hizi ni nyie mnatuwekea kwa siri kwenye vinywaji hizi dawa ili tuwe na nguvu za ziada za kuwafikisha. Ya kweli hayo Kaunga?

Didn't know! Wa kwangu natafuta ya kumpunguzia. LOL
 
Erotica,mimi niko tofauti na wanaume wengine,nimejifunza kuhusu kujitambua,namejieunza kupenda ni nini so najua ninachofanya.Wanawake wote kwanza nawatazama kwa utu wao,kisha kama nahitaji mahusiano siangalii mwili naangalia kama mwanamke anajitambua na kujua majukumu yake,hayo ndo ya muhimu kwangu.Mwili hauna nafasi kwangu kwani hauna mashiko.Hebu fikiria umevutiwa na chuchu saa sita anakuja kujifungua zinabadilika zinakua kama ndala,wewe unafikiri nini kinafuata?. . . . .
 
Last edited by a moderator:


Hapo bold kwanza kuyaita Mapenzi unatohoa na kuchujua neno Mapenzi.
Hapo haina wasi wasi mbona. kama Preta alivosema kwanza mnakua mmelewa,
sidhani hata kama kuna kuvua nguo zote wakati wa kungonoka. Hayo ya pili ndio
hasa nataka kujua. Mana wa hivo mnaweza oga wote na mikeke kibao! Imagine
unaenda kuoga kope inadondoka. aibu!
 
sun wu zinazokaa a month ni zile Original ambazo wanatumia watu kama akina Mwamvita.
Sie ambao mishahara ni laki 4 na nusu kwa mwezi ni full mchina. mara gundi sio ya
kutosha na the like. ndio woga unaingia hapo.
I guess its the thought that counts.., yaani mtu unampenda ila anajaribu zaidi kuwa mrembo (au anapenda kuwa mrembo, ili uvutiwe zaidi), by the way sidhani kama kina dada huwa wanajipodoa ili kuwakoga wanaume wengine ni for their own self esteem na wengine ni kuwakoga washikaji wao kwamba wanakwenda with time.

Binafsi I care less mtu kama anavaa nini au anafanya nini (ila ninajua kwamba sometimes its not only for me ni kwake pia kujifeel comfortable) na yeye akiwa comfortable nadhani its better for all of us (hakuna kitu muhimu kama confidence)
 

nimeipenda hii.....
 

Attention Ladies and Gentlemen! We have Byshainger in the house; let's put our hands together for the number one JF cassanova! LOL

Ila tuache utani, u r a gentleman; hadi unampa space dada akajipange vizuri!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…