Mchina oyeee!
Namshukuru Mungu najikubali na kujiamini nilivyo japo urembo natumia lakini maji yakipita tu nabaki kama nilivyo.
Je kama nahitaji msaada; si mission inakuwa akomplished?
Sasa wewe unaona hiyo condition imekaa sawa sawa? Imekaa kibiashara zaidi. Labda ungesema kivingine...by the way, raha si mnapata wote kwahiyo mnatakiwa mlipie wote. Au mi ndo naota.!!!!
Tuwe Realistic! Tunapoongelea woman libaration kwenye mahusiano does it have
to be independence? I like a man in control, awe na uwezo wa kulipa. sio kwamba mimi sitalipa,
nitalipa ile ya kusema nae apate breathing space. Tukiongelea Liberation kweye sex katika maisha
yetu ya kiswahili haya ni uongo mtupu! Nani anaamua wapi mkafanye? Nani kwa kiasi kikubwa ana
control tendo na stlye zake? nani anaamua condom itumike? Kwa kiasi kikubwa ni mwanaume.
Wanawake tumeamka but still wengi still weak wen it comes to sex related activities.
Hivo usitegemee complete liberation anytime soon.
Wangejua kusoma alama za ishara wangejua kirahisi. Mfano kila mwanaume anayedu nae hataki kurudia round ya pili, na haombi tena tundi...
Mtu akiwa natural anavutia zaidi kuliko akijijaza mavitu kibao yasioyo eleweka...na mi huwa sivutiwi na mtu anayeonekana artificial...I mean nywele si zake, kucha si zake, ngozi ya uso si yake...naogopa hata ile kitu nayoitafuta inaweza ikawa si yake pia.
Tuwe Realistic! Tunapoongelea woman libaration kwenye mahusiano does it have
to be independence? I like a man in control, awe na uwezo wa kulipa. sio kwamba mimi sitalipa,
nitalipa ile ya kusema nae apate breathing space. Tukiongelea Liberation kweye sex katika maisha
yetu ya kiswahili haya ni uongo mtupu! Nani anaamua wapi mkafanye? Nani kwa kiasi kikubwa ana
control tendo na stlye zake? nani anaamua condom itumike? Kwa kiasi kikubwa ni mwanaume.
Wanawake tumeamka but still wengi still weak wen it comes to sex related activities.
Hivo usitegemee complete liberation anytime soon.
It's kind of inexplicable...
It's just one of those things that you have to see in order to come up with a judgment...
I am just being a woman hapa. Me I bliv a guy treats you the way wewe mwanamke
unataka kuwa treated. Ukijifanya unataka kuwa in control na ulipie kila kitu of coz atakuachia tu.
Mimi hio siwezi. nitalipa kama hana uwezo na it is in my power, i prefer a man taking care of me.
Ni kweli raha wote mnapata, ila mahusiano yanapendeza one awe more in control,
na i don't see it being a woman. Utakua hujanielewa mana yangu ama hujaelewa kabisa.
soma na post hii hapa chin niliyomjibu Okada.
Of this which would you prefer achana na mambo ya age angalia the person.
Swagga za Neyo's lady wa Miss Independent
Swagga za Obama'z Michelle
Swagga za former Ms Reddz Jocate
Swagga za Nicki Minaji or whoever ambae waweza mtaja.
This is too dangerous.... kwa jinsi wanaume wengi wanavyoenda YANGOI NA YANGO, UKIMWI is here to stay!
Mimi napena na mwanamke naye alipe japo kidogo, au hata ajivunge, sio awe mzigo 100%
Mwanamke akikupenda kweli hawezi kua mzigo asilimia zote hizo believe me you,
atajitahidi kwa lolote hata kama una uwezo vipi. And of coz it is dangerous,
unadhani kwa nini wanawake wanaongoza kwa idadi ya waathirika? Yaani hadi leo ulikua hujui tu?
I am just being a woman hapa. Me I bliv a guy treats you the way wewe mwanamke
unataka kuwa treated. Ukijifanya unataka kuwa in control na ulipie kila kitu of coz atakuachia tu.
Mimi hio siwezi. nitalipa kama hana uwezo na it is in my power, i prefer a man taking care of me.
Ni kweli raha wote mnapata, ila mahusiano yanapendeza one awe more in control,
na i don't see it being a woman. Utakua hujanielewa mana yangu ama hujaelewa kabisa.
soma na post hii hapa chin niliyomjibu Okada.