kuchoka mwili

Jonash

Senior Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
164
Reaction score
37
Heri ya mwaka mpya JF...natumaini mu wazima.
Nina tatzo la kuchoka sana muda wote,yaani nausikiaga mwili hauna nguvu pamoja na usingizi kila mara
hali hii inasababishwa na nini?
 
Unatakiwa uende kucheki afya yako hospitalini kama upo OK kwa kila kitu hasa upande wa PRESHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…