Jonash Senior Member Joined Dec 3, 2012 Posts 164 Reaction score 37 Jan 2, 2014 #1 Heri ya mwaka mpya JF...natumaini mu wazima. Nina tatzo la kuchoka sana muda wote,yaani nausikiaga mwili hauna nguvu pamoja na usingizi kila mara hali hii inasababishwa na nini?
Heri ya mwaka mpya JF...natumaini mu wazima. Nina tatzo la kuchoka sana muda wote,yaani nausikiaga mwili hauna nguvu pamoja na usingizi kila mara hali hii inasababishwa na nini?
health JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 325 Reaction score 39 Jan 7, 2014 #2 Unatakiwa uende kucheki afya yako hospitalini kama upo OK kwa kila kitu hasa upande wa PRESHA