Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile povu alilomwaga mama Abdul juzi siyo la kitoto watu wanarudisha kadi kama moto wa nyika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utapata tabu sana ndio kwanza 2023 Septemba . Unatakiwa uhesabu mpaka 2030 Desemba nadhani utakua umejiua kwa presha. Mama yupo mpaka 2030
CCM ni makini na haijawahi kuchoka kuipambania nchi na afrika kwa ujumla toka enzi na enzi
Basi endelea kumuombea afe kama yule mwengine.Kwani yule mwingine alihesabu mpaka wapi?
Basi endelea kumuombea afe kama yule mwengine.
Nyie endeleeni tu kumchuria,kumbukeni tambo za yule Ally Kessy.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utapata tabu sana ndio kwanza 2023 Septemba . Unatakiwa uhesabu mpaka 2030 Desemba nadhani utakua umejiua kwa presha. Mama yupo mpaka 2030
Mama hana baya .nyie tu na roho zenu mbayaNyie endeleeni tu kumchuria,kumbukeni tambo za yule Ally Kessy.
Hajafa yupo chato kapumzika kwake.Kwani yule mwingine alikufa ndugu?
Nyongo utasaidia nini?🤣🤣CCM imechokwa sana sema Watanzania wengi wanaogopa lakini wakiruhusiwa kutema nyongo utafirahi.
Watu wataacha kupiga kura na mkitaka msimikeni huyu Bibie awe Malikia wenu wa Taarab za mipasho.Nyongo utasaidia nini?🤣🤣
Kwani watu wameanza kuacha kupiga kura leo? Muulize Tindo Ila CCM inashinda kwa kishindo kila mwaka wa uchaguzi.Watu wataacha kupiga kura na mkitaka msimikeni huyu Bibie awe Malikia wenu wa Taarab za mipasho.
Sisi tunaomuambia ukweli ndiyo tunampenda sana tofauti na nyie chawa mnamsnitch tuMama hana baya .nyie tu na roho zenu mbaya
Ukweli mtu mnampa kashfa na matusi huo ndio ukweli? Hamuwezi kutumia lugha za staha kumueleza mtu ukweli mpaka mumkashifu? Ondoeni unafiki wenu hapa. Hata mimi mengi tu ya ukweli nimemshauri rais tena kupitia hapa hapa JF na ameyafanyia kazi ila nyie endeleeni na hiyo style yenu mkidhani ndio ujanja.Sisi tunaomuambia ukweli ndiyo tunampenda sana tofauti na nyie chawa mnamsnitch tu
Hajafa yupo chato kapumzika kwake.