Kuchomwa sindano yenye kutu

Kuchomwa sindano yenye kutu

Mdadamwema.

Senior Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
156
Reaction score
173
Wakuu heshima kwenu,

Nimechomwa na sindano yenye kutu, ilikuwa imechomekwa kwenye godoro nikaikalia imenichoma kiasi kwamba imeingia kama robo hivi, nilipoichomoa na kuangalia Ina kutu nyingi.

Je, nahitaji kupata chanjo ya tetanasi au nipake nini?
 
Wakuu heshima kwenu,
Nimechomwa na sindano yenye kutu,ilikuwa imechomekwa kwenye godoro nikaikalia imenichoma kiasi kwamba imeingia kama robo hivi,nilipoichomoa na kuangalia Ina kutu nyingiii,je nahitaji kupata chanjo ya tetanasi au nipake nini?
Maswali mengine!!

Ichemshe hiyo sindano kisha jichome sehemu hiyo hiyo iliyokuchoma awali itakuwa umepona.
 
Wakuu heshima kwenu,
Nimechomwa na sindano yenye kutu,ilikuwa imechomekwa kwenye godoro nikaikalia imenichoma kiasi kwamba imeingia kama robo hivi,nilipoichomoa na kuangalia Ina kutu nyingiii,je nahitaji kupata chanjo ya tetanasi au nipake nini?
Mara ya mwishho kupata chanjo ya tetenasi ni lini ?
 
Maswali mengine!!

Ichemshe hiyo sindano kisha jichome sehemu hiyo hiyo iliyokuchoma awali itakuwa umepona.
Maswali mengine yana nini,wewe kama unaona hayana maana si upite kwani lazima ku comment,hovyoooo
 
Wakuu heshima kwenu,

Nimechomwa na sindano yenye kutu, ilikuwa imechomekwa kwenye godoro nikaikalia imenichoma kiasi kwamba imeingia kama robo hivi, nilipoichomoa na kuangalia Ina kutu nyingi.

Je, nahitaji kupata chanjo ya tetanasi au nipake nini?
Pata chsnjo Mara moja
 
Embu kwanza pole ndugu yangu..uwii
Kachome tetenasi
 
Make sure unachoma tetanus within 7 days. The sooner the better. Pia ni bure
 
Kama ulishamaliza sindano 5 za tetanus huna haja ya kwenda na hata kama umechoma 4 pia huna haja....ila chini ya hapo nkushauri uende ukachome chap
 
Back
Top Bottom