Jaji Mfawidhi JF-Expert Member Joined Feb 20, 2016 Posts 15,835 Reaction score 23,776 Mar 26, 2024 #1 Watawala wa Africa tofauti na viongozi wa "ulaya' wao wana mambo yao , wanaamini hivyo na huwaambii kitu! Vyeti feki --------matokeo Halali. Walimu feki ---- Wanafunzi Halali Phd Feki ------ Ubunge halali. Ubunge feki ----- Phd Halali Manabii feki -- Imani halali. Njia haramu -- Matokeo halali. Bunge Haramu -- Serikali halali. Sheria mbaya -- Hukumu halali.
Watawala wa Africa tofauti na viongozi wa "ulaya' wao wana mambo yao , wanaamini hivyo na huwaambii kitu! Vyeti feki --------matokeo Halali. Walimu feki ---- Wanafunzi Halali Phd Feki ------ Ubunge halali. Ubunge feki ----- Phd Halali Manabii feki -- Imani halali. Njia haramu -- Matokeo halali. Bunge Haramu -- Serikali halali. Sheria mbaya -- Hukumu halali.