Kuchukua Mkopo benki kwa udhamini wa kiwanja

Kuchukua Mkopo benki kwa udhamini wa kiwanja

mberege rukiko

Senior Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
171
Reaction score
136
Wana JF habarini

Naombeni msaada wakuu nahitaji mkopo bank kwa kuweka bond kiwanja changu hekari 2 ambacho hakina hati miliki nilikinunua tu kawaida kwa kupata barua za Mwenyekiti wa serikali ya mtaaa

Je, hili linaezekana?
 
hapo hamna namna nyingine fanya mpango upate hati tuu ndio udhibitisho wa uhakika wa umiliki.
 
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, ni mtu muhimu kwani serikali inaanzia pale, benki wanapashwa wamtambue ili mkopo utoke. Benki rekebisheni sheria zenu
 
Wana JF habarini

Naombeni msaada wakuu nahitaji mkopo bank kwa kuweka bond kiwanja changu hekari 2 ambacho hakina hati miliki nilikinunua tu kawaida kwa kupata barua za Mwenyekiti wa serikali ya mtaaa

Je, hili linaezekana?

Kwa bank za community(za vijijini) hilo linawezekana mfano Mwanga Community Bank, Mufindi Community bank n.k na hizi micro finance bank/Institutions za humu mijini, ila sasa RIBA yake itakuua na hutoinuka tena.

Pamoja na huo udamini wa kiwanja chako, oia watahitaji vigezo vingine e,g uwezo wako wa kulipa, biashara gani wafanya? aukama utalipa kwa mshahara n.k

Fanya Utaratibu upate hati miliki ya Makazi/au hati ya kimila zote zinatabulika.

Otherwise nikutakie kila la heri
 
Back
Top Bottom