Kuchunga mbuzi ni kazi ngumu sana

Kuchunga mbuzi ni kazi ngumu sana

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
5,606
Reaction score
7,032
mbuzi, mbuzi,mbuzi!!!

attachment.php
 

Attachments

  • mbuzi.jpg
    mbuzi.jpg
    45.4 KB · Views: 1,456
Q Man hiyo picha hapo ni wapi? kama unapajua, aisee tunaweza kutengeneza web page ya kivutio cha utalii (addition ya maajabu 7) tukapata fedha ya watalii!
 
Umenikumbusha mbali sana kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 9 tulienda kijijini.. Baada ya kukaa siku kama 2 hivi; babu yangu aliniambia nifungulie mbuzi kutoka kwenye zizi na KUWACHUNGA hapo jirani na nyumba

basi mie kwa akili zangu za mjini nilijua kuchunga ni KUWACHAPA bakora tu.. Na ikapelekea mbuzi kutawanyika na kukimbia kwenye mashamba ya watu hadi taarifa zilipofika nyumbani ndio wakaja kunisaidia
 
Wanachukua mazoezi ya kukimbia noma siku za sikukuu:becky::becky:
 
Mbuzi gani anapanda juu ya mti wakati miguuni mwake kuna skuna. Hao watakuwa mbuzi wakutoka kule nanihiiiiiiiiiiii. Mt
 
Si ngumu kama kuchunga paka.

Hasa paka wa JF!

cowboys-herding-cats-YouTube.png
 
Back
Top Bottom