johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna kila dalili kwamba kwa sasa na katika miaka 10 ijayo ni Chadema peke yake ndio wenye kiu na Katiba mpya.
CCM wao hawafungamani kwao Katiba yoyote ni Heri tu.
Vyama vingine vya upinzani vimeshasalimu amri (vimeufyata)
Swali: Je, Chadema ina Watu?
CCM wao hawafungamani kwao Katiba yoyote ni Heri tu.
Vyama vingine vya upinzani vimeshasalimu amri (vimeufyata)
Swali: Je, Chadema ina Watu?