Pre GE2025 Kudanganya wananchi eti kutakuwa na mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi au Katiba Mpya ni utapeli wa kisiasa

Pre GE2025 Kudanganya wananchi eti kutakuwa na mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi au Katiba Mpya ni utapeli wa kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi,

Ni vizuri sana kuambiana ukweli kama wadau wa siasa na waTanzania kwa ujumla, kwamba eti kuna mabadiliko ya sheria za uchaguzi au katiba mpya sijui next week au next month taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu october, huo ni utapeli wa kisiasa na ni uongo mtupu. Hanuna mabadiliko yoyote kwa namna yote ile.

Vyama vya siasa makini,
mathalani CCM tayari wameshaamua na kumuidhinisha mgombea urais wa chama chao tayari kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Tanzania october mwaka huu2025. Jambo hilo likimaanisha kwamba wamejipanga vizuri sana mapema kwaajili ya uchaguzi huo, na kujizatiti kushinda kwa kishindo..

Kuchukua muda mrefu kudanganya wananchi eti hapatakua na uchaguzi mpaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi yafanyike, ni kuhadaa wananchi mchana kweupe na kujidanganya kisiasa.
Badala ya kujiandaa na uchaguzi mkuu, mnahangaika kuandaa movements ambazo hazina maana yoyote kwa wananchi, zaidi sana zinawadidimiza na kuwadhoofisha wenyewe na vyama vyenu kwa ujumla.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi yalishafanyika, na hakuna mabadiliko mengine yoyote yatafanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.
Hakuna haja kudanganya wananchi.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mlihamasisha watu wasiende kujiandikisha kupiga kura, halafu wakati wa uchaguzi mkaanza kulalama ati wagombea wameenguliwa na eti siju kura zimeibiwa?

Wanaruhusiwaje kugombea uongozi watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura na wasio timiza vigezo na sifa za kikatiba? Na halafu sasa, mnaibiwaje kura wakati hamkujiandikisha kupiga kura na hamkupiga kura? hivyo si visingizio vya uongo ndugu zangu?
Na mnapingaje matokeo ya kura za wananchi waliopiga kura, hali ya kua ninyi hamkupiga kura wala hamkujiandikisha?

naona mnaendeleza yale yale mliokua mnajidanganya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuelekea uchaguzi mkuu wa october.

Dhana potofu na mayowe ya kuibiwa kura, kususia uchaguzi au maandamano haramu ya kuleta vurugu,
hayatazuia wananchi wa Tanzania wenye sifa na vigezo vya kikatiba kushiriki zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu.

Ni ngumu kushindana na kuishinda CCM iliyojipanga mapema kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Na mkiendelea kuzubaa na kumangamanga na blind movements, retreats, workshops na semina za kula bata kwenye mahoteli mbalimbali mjini, hamtaambulia hata diwani moja achilia mbali ubunge na urais ambao mtakua mnausikilizia kwenye radio na televisheni tu.

Una maoni gani? :NoGodNo:
Mungu Ibariki Tanzania
 
Kabla ya kubwabwaja ujinga kama huu yapaswa kwanza tujiulize.
UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 Ulikuwa huru na wa haki?
Nini maana ya uchaguzi huru na wa haki?
Je siyo kweli kwamba wananchi ndiyo mamlaka kuu katika taifa? Kuwambia kwamba sheria za uchaguzi ni mbovu zirekebishwe ni UTAPELI? KIVIPI ?
Nini maana ya utapeli?
Zipo wapi haki za kiraiya ikiwemo uchaguzi huru na wa haki?
MWAKA 2020 Kura za uraisi, ubunge na udiwani zilipigwa siku 2 kabla . Ushahidi ofosi za ccm kinondoni kura zilipigwa siku 2 kabla walitumika vijana waso na kazi na waliahidiwa kupewa 5000/= hawajapewa mpaka leo
 
Kabla ya kubwabwaja ujinga kama huu yapaswa kwanza tujiulize.
UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 Ulikuwa huru na wa haki?
Nini maana ya uchaguzi huru na wa haki?
Je siyo kweli kwamba wananchi ndiyo mamlaka kuu katika taifa? Kuwambia kwamba sheria za uchaguzi ni mbovu zirekebishwe ni UTAPELI? KIVIPI ?
Nini maana ya utapeli?
Zipo wapi haki za kiraiya ikiwemo uchaguzi huru na wa haki?
MWAKA 2020 Kura za uraisi, ubunge na udiwani zilipigwa siku 2 kabla . Ushahidi ofosi za ccm kinondoni kura zilipigwa siku 2 kabla walitumika vijana waso na kazi na waliahidiwa kupewa 5000/= hawajapewa mpaka leo
hakuna muda wa kujiuliza tena gentleman:pedroP:

yaan vyama vya siasa vimeshamtangaza mpaka mgombea wao na Taifa zima linamjue wewe na wenzako ndio kwanza mnajiuliza? mlikua wapi kujiuliza na october hiyo hapo kwenye kona?:pedroP:
 
Mimi nawashauri upinzani wasihangaike kuweka Mgombea Urais maana huko wataambulia aibu tu. Kwa sababu Rais Samia ndiye chaguo la watanzania
 
Mimi nawashauri upinzani wasihangaike kuweka Mgombea Urais maana huko wataambulia aibu tu. Kwa sababu Rais Samia ndiye chaguo la watanzania
kuna hata huyu muungwana anaitwa Pascal Mayalla aliwahi shauri hivyo kitambo sana but jamaa wamedinda na kushupaza shingo, licha ya kua hawana wafuasi wa kutosha hata kushinda ubunge au udiwani katika maeneo mengi sana nchini..
 
Msikimbilie kusaidiwa na mapolisi muone cha mtema kuni. CCM bila polisi na mashushushu hamuwezi hata kupata jimbo moja. Kazi yenu mmekalia wizi tu. Lakini siku za mwizi ni Arobaini na zimefikia mwisho.
kuna hata huyu muungwana anaitwa Pascal Mayalla aliwahi shauri hivyo kitambo sana but jamaa wamedinda na kushupaza shingo, licha ya kua hawana wafuasi wa kutosha hata kushinda ubunge au udiwani katika maeneo mengi sana nchini..
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi,

Ni vizuri sana kuambiana ukweli kama wadau wa siasa na waTanzania kwa ujumla, kwamba eti kuna mabadiliko ya sheria za uchaguzi au katiba mpya sijui next week au next month taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu october, huo ni utapeli wa kisiasa na ni uongo mtupu. Hanuna mabadiliko yoyote kwa namna yote ile.

Vyama vya siasa makini,
mathalani CCM tayari wameshaamua na kumuidhinisha mgombea urais wa chama chao tayari kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Tanzania october mwaka huu2025. Jambo hilo likimaanisha kwamba wamejipanga vizuri sana mapema kwaajili ya uchaguzi huo, na kujizatiti kushinda kwa kishindo..

Kuchukua muda mrefu kudanganya wananchi eti hapatakua na uchaguzi mpaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi yafanyike, ni kuhadaa wananchi mchana kweupe na kujidanganya kisiasa.
Badala ya kujiandaa na uchaguzi mkuu, mnahangaika kuandaa movements ambazo hazina maana yoyote kwa wananchi, zaidi sana zinawadidimiza na kuwadhoofisha wenyewe na vyama vyenu kwa ujumla.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi yalishafanyika, na hakuna mabadiliko mengine yoyote yatafanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.
Hakuna haja kudanganya wananchi.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mlihamasisha watu wasiende kujiandikisha kupiga kura, halafu wakati wa uchaguzi mkaanza kulalama ati wagombea wameenguliwa na eti siju kura zimeibiwa?

Wanaruhusiwaje kugombea uongozi watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura na wasio timiza vigezo na sifa za kikatiba? Na halafu sasa, mnaibiwaje kura wakati hamkujiandikisha kupiga kura na hamkupiga kura? hivyo si visingizio vya uongo ndugu zangu?
Na mnapingaje matokeo ya kura za wananchi waliopiga kura, hali ya kua ninyi hamkupiga kura wala hamkujiandikisha?

naona mnaendeleza yale yale mliokua mnajidanganya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuelekea uchaguzi mkuu wa october.

Dhana potofu na mayowe ya kuibiwa kura, kususia uchaguzi au maandamano haramu ya kuleta vurugu,
hayatazuia wananchi wa Tanzania wenye sifa na vigezo vya kikatiba kushiriki zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu.

Ni ngumu kushindana na kuishinda CCM iliyojipanga mapema kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Na mkiendelea kuzubaa na kumangamanga na blind movements, retreats, workshops na semina za kula bata kwenye mahoteli mbalimbali mjini, hamtaambulia hata diwani moja achilia mbali ubunge na urais ambao mtakua mnausikilizia kwenye radio na televisheni tu.

Una maoni gani? :NoGodNo:
Mungu Ibariki Tanzania
Kumbuka mh Mbowe alipowa ushauri astaafu kwa heshima lakini akakomaa kama nyinyi.Mi naamini kwenye haki Mungu si Asumani muda utaongea
 
Kabla ya kubwabwaja ujinga kama huu yapaswa kwanza tujiulize.
UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 Ulikuwa huru na wa haki?
Nini maana ya uchaguzi huru na wa haki?
Je siyo kweli kwamba wananchi ndiyo mamlaka kuu katika taifa? Kuwambia kwamba sheria za uchaguzi ni mbovu zirekebishwe ni UTAPELI? KIVIPI ?
Nini maana ya utapeli?
Zipo wapi haki za kiraiya ikiwemo uchaguzi huru na wa haki?
MWAKA 2020 Kura za uraisi, ubunge na udiwani zilipigwa siku 2 kabla . Ushahidi ofosi za ccm kinondoni kura zilipigwa siku 2 kabla walitumika vijana waso na kazi na waliahidiwa kupewa 5000/= hawajapewa mpaka leo
Hawa kina tlaahtlaah wanadhani watu hawana Akili ya kutafakari mambo!Dini tuu zinahubiri kila siku watu wanaendelea na mambo Yao!
 
Kikubwa tuombe uzima.
October 2025 lazima kura zipigwe.

Vyama vilivojiandaa vitashiriki vizuri tu. Vyama vilivyofulia visubiri Katiba mpya.
 
Pambana na maisha yako yawepo visiwepo hayo mabadiliko wewe inakuathiri nini kwenye maisha yako kwa mfano
 
Msikimbilie kusaidiwa na mapolisi muone cha mtema kuni. CCM bila polisi na mashushushu hamuwezi hata kupata jimbo moja. Kazi yenu mmekalia wizi tu. Lakini siku za mwizi ni Arobaini na zimefikia mwisho.
semeni yote ndugu zangu,

ila uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa katiba, ni october mwaka huu2025.
Usidanganyike ati kuna muujiza mwingine dhidi ya hili :NoGodNo:
 
Kumbuka mh Mbowe alipowa ushauri astaafu kwa heshima lakini akakomaa kama nyinyi.Mi naamini kwenye haki Mungu si Asumani muda utaongea
suala la uchaguzi mkuu wa Tanzania sio suala la ushauri wa mtu gentleman,
uchaguzi wa octobar mwaka huu2025 ni kwa mujibu wa katiba.

ushauri na kudanganyana fanyeni huko huko huko kwenye vyama vyenu:pedroP:
 
Pambana na maisha yako yawepo visiwepo hayo mabadiliko wewe inakuathiri nini kwenye maisha yako kwa mfano
naona huruma sana wananchi kutapeliwa pesa na kudanganywa ati hapatakuepo uchaguzi na vibaka wa kisiasa:pedroP:
 
Hawa kina tlaahtlaah wanadhani watu hawana Akili ya kutafakari mambo!Dini tuu zinahubiri kila siku watu wanaendelea na mambo Yao!
kwenye masuala ya kikatiba hakuna suala la kudhani gentleman,

hayo mengine ya ibadani kwako si muhimu kwa wengine:pedroP:
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi,

Ni vizuri sana kuambiana ukweli kama wadau wa siasa na waTanzania kwa ujumla, kwamba eti kuna mabadiliko ya sheria za uchaguzi au katiba mpya sijui next week au next month taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu october, huo ni utapeli wa kisiasa na ni uongo mtupu. Hanuna mabadiliko yoyote kwa namna yote ile.

Vyama vya siasa makini,
mathalani CCM tayari wameshaamua na kumuidhinisha mgombea urais wa chama chao tayari kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Tanzania october mwaka huu2025. Jambo hilo likimaanisha kwamba wamejipanga vizuri sana mapema kwaajili ya uchaguzi huo, na kujizatiti kushinda kwa kishindo..

Kuchukua muda mrefu kudanganya wananchi eti hapatakua na uchaguzi mpaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi yafanyike, ni kuhadaa wananchi mchana kweupe na kujidanganya kisiasa.
Badala ya kujiandaa na uchaguzi mkuu, mnahangaika kuandaa movements ambazo hazina maana yoyote kwa wananchi, zaidi sana zinawadidimiza na kuwadhoofisha wenyewe na vyama vyenu kwa ujumla.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi yalishafanyika, na hakuna mabadiliko mengine yoyote yatafanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.
Hakuna haja kudanganya wananchi.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mlihamasisha watu wasiende kujiandikisha kupiga kura, halafu wakati wa uchaguzi mkaanza kulalama ati wagombea wameenguliwa na eti siju kura zimeibiwa?

Wanaruhusiwaje kugombea uongozi watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura na wasio timiza vigezo na sifa za kikatiba? Na halafu sasa, mnaibiwaje kura wakati hamkujiandikisha kupiga kura na hamkupiga kura? hivyo si visingizio vya uongo ndugu zangu?
Na mnapingaje matokeo ya kura za wananchi waliopiga kura, hali ya kua ninyi hamkupiga kura wala hamkujiandikisha?

naona mnaendeleza yale yale mliokua mnajidanganya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuelekea uchaguzi mkuu wa october.

Dhana potofu na mayowe ya kuibiwa kura, kususia uchaguzi au maandamano haramu ya kuleta vurugu,
hayatazuia wananchi wa Tanzania wenye sifa na vigezo vya kikatiba kushiriki zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu.

Ni ngumu kushindana na kuishinda CCM iliyojipanga mapema kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Na mkiendelea kuzubaa na kumangamanga na blind movements, retreats, workshops na semina za kula bata kwenye mahoteli mbalimbali mjini, hamtaambulia hata diwani moja achilia mbali ubunge na urais ambao mtakua mnausikilizia kwenye radio na televisheni tu.

Una maoni gani? :NoGodNo:
Mungu Ibariki Tanzania
NONSENSE
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi,

Ni vizuri sana kuambiana ukweli kama wadau wa siasa na waTanzania kwa ujumla, kwamba eti kuna mabadiliko ya sheria za uchaguzi au katiba mpya sijui next week au next month taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu october, huo ni utapeli wa kisiasa na ni uongo mtupu. Hanuna mabadiliko yoyote kwa namna yote ile.

Vyama vya siasa makini,
mathalani CCM tayari wameshaamua na kumuidhinisha mgombea urais wa chama chao tayari kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Tanzania october mwaka huu2025. Jambo hilo likimaanisha kwamba wamejipanga vizuri sana mapema kwaajili ya uchaguzi huo, na kujizatiti kushinda kwa kishindo..

Kuchukua muda mrefu kudanganya wananchi eti hapatakua na uchaguzi mpaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi yafanyike, ni kuhadaa wananchi mchana kweupe na kujidanganya kisiasa.
Badala ya kujiandaa na uchaguzi mkuu, mnahangaika kuandaa movements ambazo hazina maana yoyote kwa wananchi, zaidi sana zinawadidimiza na kuwadhoofisha wenyewe na vyama vyenu kwa ujumla.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi yalishafanyika, na hakuna mabadiliko mengine yoyote yatafanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.
Hakuna haja kudanganya wananchi.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mlihamasisha watu wasiende kujiandikisha kupiga kura, halafu wakati wa uchaguzi mkaanza kulalama ati wagombea wameenguliwa na eti siju kura zimeibiwa?

Wanaruhusiwaje kugombea uongozi watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura na wasio timiza vigezo na sifa za kikatiba? Na halafu sasa, mnaibiwaje kura wakati hamkujiandikisha kupiga kura na hamkupiga kura? hivyo si visingizio vya uongo ndugu zangu?
Na mnapingaje matokeo ya kura za wananchi waliopiga kura, hali ya kua ninyi hamkupiga kura wala hamkujiandikisha?

naona mnaendeleza yale yale mliokua mnajidanganya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuelekea uchaguzi mkuu wa october.

Dhana potofu na mayowe ya kuibiwa kura, kususia uchaguzi au maandamano haramu ya kuleta vurugu,
hayatazuia wananchi wa Tanzania wenye sifa na vigezo vya kikatiba kushiriki zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu.

Ni ngumu kushindana na kuishinda CCM iliyojipanga mapema kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Na mkiendelea kuzubaa na kumangamanga na blind movements, retreats, workshops na semina za kula bata kwenye mahoteli mbalimbali mjini, hamtaambulia hata diwani moja achilia mbali ubunge na urais ambao mtakua mnausikilizia kwenye radio na televisheni tu.

Una maoni gani? :NoGodNo:
Mungu Ibariki Tanzania
Kwani mbona ccm waliwatapeli wa Tanzania na mchakato huu na baada ya kujichoteamabilioni kwenye mchakato husika na wakauzika mchana kweupeee kupitia sterling wenu halafu leo hii unatijia na porojo hapa?
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi,

Ni vizuri sana kuambiana ukweli kama wadau wa siasa na waTanzania kwa ujumla, kwamba eti kuna mabadiliko ya sheria za uchaguzi au katiba mpya sijui next week au next month taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu october, huo ni utapeli wa kisiasa na ni uongo mtupu. Hanuna mabadiliko yoyote kwa namna yote ile.

Vyama vya siasa makini,
mathalani CCM tayari wameshaamua na kumuidhinisha mgombea urais wa chama chao tayari kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Tanzania october mwaka huu2025. Jambo hilo likimaanisha kwamba wamejipanga vizuri sana mapema kwaajili ya uchaguzi huo, na kujizatiti kushinda kwa kishindo..

Kuchukua muda mrefu kudanganya wananchi eti hapatakua na uchaguzi mpaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi yafanyike, ni kuhadaa wananchi mchana kweupe na kujidanganya kisiasa.
Badala ya kujiandaa na uchaguzi mkuu, mnahangaika kuandaa movements ambazo hazina maana yoyote kwa wananchi, zaidi sana zinawadidimiza na kuwadhoofisha wenyewe na vyama vyenu kwa ujumla.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi yalishafanyika, na hakuna mabadiliko mengine yoyote yatafanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.
Hakuna haja kudanganya wananchi.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mlihamasisha watu wasiende kujiandikisha kupiga kura, halafu wakati wa uchaguzi mkaanza kulalama ati wagombea wameenguliwa na eti siju kura zimeibiwa?

Wanaruhusiwaje kugombea uongozi watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura na wasio timiza vigezo na sifa za kikatiba? Na halafu sasa, mnaibiwaje kura wakati hamkujiandikisha kupiga kura na hamkupiga kura? hivyo si visingizio vya uongo ndugu zangu?
Na mnapingaje matokeo ya kura za wananchi waliopiga kura, hali ya kua ninyi hamkupiga kura wala hamkujiandikisha?

naona mnaendeleza yale yale mliokua mnajidanganya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuelekea uchaguzi mkuu wa october.

Dhana potofu na mayowe ya kuibiwa kura, kususia uchaguzi au maandamano haramu ya kuleta vurugu,
hayatazuia wananchi wa Tanzania wenye sifa na vigezo vya kikatiba kushiriki zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu.

Ni ngumu kushindana na kuishinda CCM iliyojipanga mapema kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Na mkiendelea kuzubaa na kumangamanga na blind movements, retreats, workshops na semina za kula bata kwenye mahoteli mbalimbali mjini, hamtaambulia hata diwani moja achilia mbali ubunge na urais ambao mtakua mnausikilizia kwenye radio na televisheni tu.

Una maoni gani? :NoGodNo:
Mungu Ibariki Tanzania
Usimwamshe aliyelala, bali akianza kukoroma unamfunika vizuri aufaidi usingizi wakati wewe unafaidi nguna! Akizinduka na njaa inamuuma, anakuta wewe ndio unapiga miayo na katumbo ndiii!
 
Back
Top Bottom