kudesa

kudesa

kamau

Member
Joined
Nov 8, 2008
Posts
11
Reaction score
0
Jamaa wawili waifanya interview ya kazi ,bahati nzuri au mbaya wakapata 90% wote wawili na kufungana. Boss akampa kazi yule mtahiniwa wa kwanza.Yule wa pili akaenda kulalamika kwa nini hakupewa kazi na wamepata marks sawa.Boss akamwambia swali la mwisho ameandika I don't know the answer too,ikimanisha alikuwa anafuatilia ya mwnzake one to one na la mwisho akaongezea too
 
Back
Top Bottom