Kenya 2022 Kudhalilishwa kwa Abdulswamad Sharif Nasiry ni dalili ya kuwa Muungano wa Azimio la Umoja kuna fukuto ndani yake kuelekea uchaguzi mkuu?

Kenya 2022 Kudhalilishwa kwa Abdulswamad Sharif Nasiry ni dalili ya kuwa Muungano wa Azimio la Umoja kuna fukuto ndani yake kuelekea uchaguzi mkuu?

Kenya 2022 General Election

Waziri wa madini

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
379
Reaction score
466
Katika mkutano wa kampeni hadharani alionekana mwanasiasa wa chama Cha Jubilee ambaye kwa Sasa ndiye mgombea wa Ugavana wa county ya Mombasa kupitia muungano wa Azimio la Umoja akitupiwa mayai na kudhalilishwa kwa kufokewa na Gavana anayemaliza muda bwana Joho ambaye ni kiongozi mkubwa wa kambi ya ODM, haikuishia hapo alipewa na msuto wa Nguvu na bwana Juneit Mohammad.

Maswali yaliyomo vichwani kwa wafuatiliaji wa siasa za Kenya je Muungano huu ni wa dhati au wa kinafiki na je huko mbeleni nini kitatokea.?
 
Back
Top Bottom