Kudhoofisha vyama vya upinzani ni kumdhalilisha Baba wa Taifa

Kudhoofisha vyama vya upinzani ni kumdhalilisha Baba wa Taifa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna mtu yeyeto nchini eliyevileta na kuviruhusu vyama vya upinzani nchini ila Mwl. Nyerere rip kwa sababu zake.
Hatuwezi kamwe kusema tunafuata nyao za Nyerere bila kuvikuza vyama vya upinzani viwe kama Mwl. Nyerere alivyokusudia viwe.
Labda Mwl. hakuwaeleza wana-CCM wenzake sababu zipi zilizomfanya aviruhusu vyama vya upinzani vianzishwe Tanzania hata baada 80% ya kura za maoni kuvikataa. na Kama aliwaeleza wote basi ni JK peke yake ndiye aliyekuwa amemuelewa na wengine hawkumuelewa kabisa au hawakukubaliana naye au walimuelewa lakini sasa wanamuasi.

Mwl alisema na kutenda mengi, tunaposema tunafuata nyao zake tuwe specific tunamaanisha kitu gani.
 
Hakuna mtu yeyeto nchini eliyevileta na kuviruhusu vyama vya upinzani nchini ila Mwl. Nyerere rip kwa sababu zake.
Hatuwezi kamwe kusema tunafuata nyao za Nyerere bila kuvikuza vyama vya upinzani viwe kama Mwl. Nyerere alivyokusudia viwe.
Labda Mwl. hakuwaeleza wana-CCM wenzake sababu zipi zilizomfanya aviruhusu vyama vya upinzani vianzishwe Tanzania.
Kama aliwaeleza basi JK peke yake ndiye aliyekuwa amemuelewa lakini wengine hakumuelewa au hawakukubaliana naye.

Mwl alisema na kutenda mengi tunaposema tunafuata nyao zake tuwe specific tunamaanisha kitu gani.
Kama tunamwenzi Hayati baba wa Taifa kwanini hatuvienzi vyama vya upinzani alivyoviasisi?
 
Kuna mh. mmoja hapa nchini akisikia au kusoma ukosoaji dhidi yake hujisikia uchungu zaidi ya uzazi au kukamuliwa jipu bila ganzi na akati mwingine hujihisi kapigwa ngumi ya jino liumalo! Anatamani yeye pekee ndo aongee nchi nzima ikae kimya!
 
Hakuna mtu yeyeto nchini eliyevileta na kuviruhusu vyama vya upinzani nchini ila Mwl. Nyerere rip kwa sababu zake.

ridiculous, the so called baba wa taifa ndio alivifuta vyama vingi mwaka 1965

African Association ilianzishwa mwaka 1927 Nyerere akiwa mchunga mbuzi wa miaka 5, by the time anakuwa mkuu wa nchi 1961, vyama vingi vilikuwa vimeshastawi na kutapakaa nchi nzima, akaja kuvifuta by decree, ki-dikteta, mwaka 1965. Nyerere nae aliturudisha nyuma "miaka 50."
 
ridiculous, the so called baba wa taifa ndio alivifuta vyama vingi mwaka 1965

African Association ilianzishwa mwaka 1927 Nyerere akiwa mchunga mbuzi wa miaka 5, by the time anakuwa mkuu wa nchi 1961, vyama vingi vilikuwa vimeshastawi na kutapakaa nchi nzima, akaja kuvifuta by decree, ki-dikteta, mwaka 1965. Nyerere nae aliturudisha nyuma "miaka 50."
ivooo
 
ridiculous, the so called baba wa taifa ndio alivifuta vyama vingi mwaka 1965

African Association ilianzishwa mwaka 1927 Nyerere akiwa mchunga mbuzi wa miaka 5, by the time anakuwa mkuu wa nchi 1961, vyama vingi vilikuwa vimeshastawi na kutapakaa nchi nzima, akaja kuvifuta by decree, ki-dikteta, mwaka 1965. Nyerere nae aliturudisha nyuma "miaka 50."
Alivifuta kuwafanya wtz wamoja kwanza. Aliamini vyama vingi vitamreplace baada ya kuondoka. Alikuwa na akili sana. Hata leo mbwembwe tunazoziona za hapa kazi zinatokana na uwepo wa chadema imara.
 
Alivifuta kuwafanya wtz wamoja kwanza. Aliamini vyama vingi vitamreplace baada ya kuondoka. Alikuwa na akili sana. Hata leo mbwembwe tunazoziona za hapa kazi zinatokana na uwepo wa chadema imara.

kumbe tunakubaliana kwamba Nyerere ndi alifuta vyama vingi

kwa hiyo hoja ya mada hii ni ya uongo, false premise

Nyerere hakuleta vyama vingi, alifuta

kidemokrasia na haki za raia akarudisha nyuma miaka 50
 
Mkuu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hakuwa muumini hata kidogo wa multipartism.Yeye alijua tofauti na ninyi siku hizi kwamba multipartism ni conspiracy au janja ya wakoloni ya devide and rule.Infact baada ya Tanzania kuwa na hali ngumu ya kiuchumi, ndio washenzi hawa wakapata mwanya wa kumbana Mwalimu kukubali dhana ya vyama vingi,kabla ya hapo walishindwa.So you see, kukubali dhana ya vyama vingi sio kumuenzi Mwalimu kwa kuwa yeye hakuwa kimsingi anaipenda.

Binafsi vyama vingi sivipendi pia, kwa kuwa najua ni conspiracy ya wakoloni ambayo nia yake ni kuleta mifarakano katika jamii na hata vita katika wakati wanaotaka wao.Yaani jamaa wamefanikiwa kwenye soft power kiasi kwamba tunaona anything western is good,tuamke jamani that is not the case.
 
Back
Top Bottom