Kudukua mawasiliano ya simu, ni kosa kisheria?

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Kumekuwa na wimbi la wafanyakaziwasio waaminifu wa kampuni za simu kupewa pesa/kuhongwa na wapinzani wangu kibiashara/kisiasa kudukua mawasiliano ya sms/whatsapp/sauti za wateja wao. Je naweza kuishtaki kampuni na mtu aliyedukua mawasilianoiwapo ninao ushahidi wa kutosha? Kwa sheria ipi hasa? Adhabu yake ni nini? Wajuzi wa sheria naomba msaada.
 
Ili simu iweze kuwa taping au kuchunguzwa km ulivyoeleza cha kwanza lazma polisi waombe kwa maandishi kwa mwanasheria wa kampuni kuhusu kutaka kufatilia simu yako watoe na sababu zenye nguvu kufanya hivyo.kiukweli sisi Watz hatutaki kuzijua sheria zetu hvyo wanaozijua wanapata chansi kubwa sn kutukandamiza.tusome majarida ya sheria
 
Wa-Tanzania wakiamua kuwa serious katika kufuatilia hili nina uhakika wale vijana wa makampuni ya simu watafukuzwa kazi na kushtakiwa kwa maelfu.
 

Mkuu katiba ya nchi kwenye kipengele cha
15 Na 16 haki ya kuishi
Sheria ya 1984 namba 15 ibara ya 6
Haki ya faragha Na usalama wa mtu.
Kutokana Na sheria Hii unahaki ya kutoingiliwa kwenye haki yako ya msingi.
Tafuta mwasheria akusaidie
 
Tena unakuta huyo mshindani wako kibiashara anakufowardia hizo information alizodukua daah!! hapo ndo kilainiii unampeleka kwa Pilato na ushahidi tosha akapate haki yake.
 
Whatsapp imeboreshwa kwa sasa haidukuliki tena
 
Inabidi watu wanyooshwe, kawafungulie kesi kama na ushahidi unaom...wanalo. watajifunza kwa kuwanyoosha wafanyakazi wao wanaowaletea hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…