Kudukuliwa kwa mfumo wa kompyuta ktk uchaguzi wa kenya, tujifunze nini uhesabuji wa kura kwa njia ya Electronic?

Kudukuliwa kwa mfumo wa kompyuta ktk uchaguzi wa kenya, tujifunze nini uhesabuji wa kura kwa njia ya Electronic?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Hivi punde mahakama ya juu nchini Kenya imeridhia ombi la Muungano wa NASA kuwa uchaguzi ulivurugwa. Je tujifunze nini na tuboreshe nini kwenye njia za uhesabuji wa kura kwa njia ya kiteknolojia ya electronic ili kosa hili lisitokee ktk nchi nyingine zinazopigia upatu mfumo huu?
 
Back
Top Bottom