Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Naendelea kutafakari nilisema nini 28th August 2012, nini kimetokea, na nasubiria kwa hamu nini kitatokea tarehe 25 October, 2015!.

Pasco.
 


With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, lets not let CCM to fool all the people all the times!.

kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco
 
Baada ya Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni super man, nimemkumbuka naomba nimdurusu kidogo, niliwaji kusema nini humu kumhusu mtu huyu.

P.
 
Mkuu Concrete, nimekutana mahali na Tanganyika TANU, anakusalimia sana!.
P
 
Ingawa Lowasa asingefaa, lakini ya Magufuli wote tumeyashuhudia, alikuwa dikteta kweli mpaka ccm wenyewe akiwemo JK waliisoma namba na kujuta.
 

He was an ideal president that never was!.
Kuanzia leo mpaka atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, as my tribute to this fallen hero, let's celebrate the life and the time of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Edward Lowassa, umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Nasubiri tribute ya JK kwa ENL....sionfezi neno !! Nasubiri sana...!! Najua ENL hajaongea lolore kuhusu Richmond najua naamini amekufa nalo...subiri dhamira ya JK ...itamsuta ??
 
Pole sana mkuu Pascal Mayalla kwa msiba huu mzito. Nifikishie salami zangu za pole kwa nguli kabisa Aboubakari Lyongo na timu nzima.

"He was an ideal president that never was!." [Not true].

"He was a hero" [Not true]

"He was a hero" + "on his own right" [True]

Alipigana "vita vilivyo vitakatifu", [Questionable]

"Imani ameilinda" [Questionable]

My take, like majority of Tanzanian politicians, Lowassa was dramatic, manipulative and opportunistic! His model of action had media house/s at its base.

He extensively used his performance art skills to dramatise and manipulate people.

Maisha yake ya kisiasa yanaacha maswali lukuki. Lakini mimi ni nani nisisamehe japo kusahau ni muhari?

Mwanga milele umuangazie ee Bwana, apumzike kwa amani mpendwa wetu. Amen
 
Nasubiri tribute ya JK kwa ENL....sionfezi neno !! Nasubiri sana...!! Najua ENL hajaongea lolore kuhusu Richmond najua naamini amekufa nalo...subiri dhamira ya JK ...itamsuta ??
JK asiposema yote kuhusu Richmond na ENL, lengo lao litakuwa ni nchi na watu wake wabaki kwenye hii vicious cycle ya ukosefu wa umeme generation after generation. Huu sio uungwana.

JK aseme ukweli uliobaki, nchi Ione inafanyaje kuvuka hapa. Hapo atasaidia pakubwa.
 
Edward Lowassa na Salim Ahmed Salim wajgefaa kuwa Marais wazuri sana katika nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…