Kumbe wewe huielewi na huwaelewi watu wa kanda ya ziwa, kwa taarifa yako watu wa kanda ya ziwa wanayo elimu nzuri tu ya kutosha na pia ukitafuta watu genius utawapata wengi kanda ya ziwa,shida kubwa ya kanda la ziwa ni ukosefu wa fikira, elimu nduni, wale watu wako nyuma miaka 300. umasikini ule uko kanda la ziwa na sio tu wa mali, mbali na pia wa akili, acha tu
Nikumbushe Rais wa mwisho Tanzania aliyeshinda kwa Kura ndio tuendelee na mjadalaAmani kwako.
Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza
Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.
Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.
Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.
Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.
Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.
PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
kuna wasukuma, wakurya na wanyamwezi wamepinda kichizi yaanishida kubwa ya kanda la ziwa ni ukosefu wa fikira, elimu nduni, wale watu wako nyuma miaka 300. umasikini ule uko kanda la ziwa na sio tu wa mali, mbali na pia wa akili, acha tu
Hiyo nguvu iko wapi?Walioko madarakani sasa wameamua kuunderrate nguvu ya lake zone either kwa makusudi ama kutokujua
Anayeaminisha Kura zinampa Urais ni mjingaAcheni ujinga wenu! Nani kasema kanda ya Ziwa ndo inaamua Raisi?
Tanzania sehemu zote zina nyomi tena za kutosha
Bado kuna watu wanatetea ukabila na ukanda usawa huu wa karne ya 21! Kazi kweli kweli. Haya mambo pelekeni kwa jirani zenu kule Burundi, Kenya na Rwanda hata UgandaAmani kwako.
Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza
Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.
Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.
Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.
Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.
Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.
PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
lakini uchama ni sawa?Bado kuna watu wanatetea ukabila na ukanda usawa huu wa karne ya 21! Kazi kweli kweli. Haya mambo pelekeni kwa jirani zenu kule Burundi, Kenya na Rwanda hata Uganda
Chama ndicho chombo kilichokubalika kisheria kutumika siasa kuwaleta pamoja watu wenye itikadi moja kutafuta uongozi wa nchi. Hivyo, kisheria na kiakili ni sawa tu.lakini uchama ni sawa?
Nani kakwambia kwamba ushindi wa ccm unategemea kura ya mtu? Hata wasipopogia still watatangazwa washindi tu. Samia amesha sema akiw mbeya kwamba hata msipoipigia ccm, itaunda serikali tu. Tafakari chukua hatua....... Haki elimuuuuuuiAmani kwako.
Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza
Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.
Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.
Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.
Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.
Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.
PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
So unashauli siku zikifika tukapige kura au tukae nyumbani tusubili hiyo kauli ya bimkubwa itimie?.Nani kakwambia kwamba ushindi wa ccm unategemea kura ya mtu? Hata wasipopogia still watatangazwa washindi tu. Samia amesha sema akiw mbeya kwamba hata msipoipigia ccm, itaunda serikali tu. Tafakari chukua hatua....... Haki elimuuuuuui
Hatukubali kubemendwaAmani kwako.
Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomoza
Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.
Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.
Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.
Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.
Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.
PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Wenzenu wameanza kwa hasira kampeni za chini chini, huku mkionyeshwa aina ya mtu na binadamu walivyo, moja ni; 'huyo alikuwa ni kakangu, upande wa pili alikuwa jemedali na si msikivu, hiyo ni ishara murua mnaanza kubemendwa haste haste!.Hatukubali kubemendwa
Si mara ya Kwanza Kwa watu kuhama CCM alihama Lowasa na sumaye sembuse msukuma na lisinde.Mi naona CCM itameguka 2023! Like kundi lisilokubaliana na mama litajitenga na hapo ndo moto utawaka! Kanda ya ziwa mgombea anayetaka kushinda lazima akubalike kanda hii amabayo ina zaidi ya watu 24 milion