Kuelekea chelsea vs barcelona messi akwaruzana na kocha wake.

Kuelekea chelsea vs barcelona messi akwaruzana na kocha wake.

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
Yaliyomtokea ronadinho na rijkard ya elekea kumkuta messi na kocha wake. STARTIMES WANAONESHA KUPITIA KITUO GANI?
 
mkuu hujaeleweka! Tuambie Messi na Gardiola wametimuana kivipi?
 
Haina ubishi chelsea anashinda. NI KITUO CHA KBC
 
Wewe utakuwa sawa na mkulo. Badala ya kuwa bungeni yupo Dc. Wewe badala ya kupeleka hii kitu isiyoeleweka jukwaa la michezo unaleta humu. Acha ubabaishaji kama ccm bana
 
Wewe utakuwa sawa na mkulo. Badala ya kuwa bungeni yupo Dc. Wewe badala ya kupeleka hii kitu isiyoeleweka jukwaa la michezo unaleta humu. Acha ubabaishaji kama ccm bana

mwana wewe ni muimbaji wa taarab nini maana upo kama jike vile.
 
Akili yako imeishia hapo? Why not dume. Too myopic
 
mwana wewe ni muimbaji wa taarab nini maana upo kama jike vile.

No wonder we ni chakula kama jina lako na ubongo wako utakuwa umenenepa kama your obese dady
 
Chealsea huenda ikafanya vzr leo hii,lakini mkuu jukwaa husika lipo.
 
chelsea ni chama cha siasa ktk nchi gani? na huyo messi nae ni mroho wa madaraka? au ni msema ukweli? aendelee kupambana kama vp ajivue gamba tu, au ahamie chadema mazima, pipooooz ....
 
Yaliyomtokea ronadinho na rijkard ya elekea kumkuta messi na kocha wake. STARTIMES WANAONESHA KUPITIA KITUO GANI?



Tupe mambo yalivyokuwa kwa huyu gwiji na kocha wake!

Maana Mi naona hii hbr yako iko short sana Kiongozi!
 
Back
Top Bottom