Kuelekea Darby; fukuzafuza yanga yashamilli

frenk julius

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
377
Reaction score
242
Habar, Siku chache tulisikia uongozi wa yanga ukimsimamisha meneja wao .Dismas ten kwa kile kilichodaiwa kuwavalisha wachezaj a bech la ufund jezi zisizotakiwa
Jana tena tukasikia wamemsimamisha kaz kwa mda usiojulika mpiga picha wao kwa kosa la kuingia kambini bila ruhusa.
Swali dogo tu hapo inamaana humo ndani kuna nn ambacho yanga walikuwa wanaficha kwa mpiga picha wao?
Mwenye kujua atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…