CHUNGU NAMBA 1 KUNA
Al Ahly
Wydad
Esperance
Tp mazembe
CHUNGU NAMBA 2 KUNA
Simba
Sundown
Horoya
Cs Constantine
Katika dro ni chungu namba 1 against chungu namba 2
Kwa hiyo Simba anaweza akakutana na
Al Ahly au Wydad au Esperance au
Tp mazembe
Yani dahh nawaonea huruma Sjmba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata walipopangwa kundi moja na Al Ahly, JS Saoura, AS Vita uliwaonea huruma.
Simba hawezi draw al ahyl kwa sababu walikuwa kundi moja. Ni hizo tatu zinazobaki tu
Waliokuwa kundi moja hawakutani. Ipo kanuni hiyo. Kuna namna wataepusha hilo.CHUNGU NAMBA 1 KUNA
Al Ahly
Wydad
Esperance
Tp mazembe
CHUNGU NAMBA 2 KUNA
Simba
Sundown
Horoya
Cs Constantine
Katika dro ni chungu namba 1 against chungu namba 2
Kwa hiyo Simba anaweza akakutana na
Al Ahly au Wydad au Esperance au
Tp mazembe
Yani dahh nawaonea huruma Sjmba
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaifuatilia kwa sababu mlisema mtatubeba na sisi mwakani kama mkifanikiwa kuingia nusu final