Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Umeona eeh mimi sasa hivi nimeamua kuwa neutral,ingawa deep inside my heart i wish Italia washinde
Yaah!kipendacho roho lazima mshale uegemee mahala flan but hizi cards nao ni msiba mwingine kwa wajukuu wa mussolinI.
 
Mattia de Sciglio amepewa kadi ya tatu ya njano na anakosa mechi ya nusu fainali kama Italy itavuka.
 
Find Nemo kafunga basi mashabiki wa Arsenal wataona wameshinda wao leo tehteh!
 
halafu huu upande ni rahisi kufungia goli,maana kuna kamremko flani,tatizo italy wao walishindwa kuitumia nafasi ya position ya goal kipindi cha kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…